FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ni kwamba meter moja ya umeme iwe na uwezo wa kulisha nyumba hadi 6 bila kuchangiana kwenye matumizi.
Mteja akiomba meter, atasema anataka yenye output ngapi (line 1, 2 ,3, 4, 5 au 6) kulingana na matarajio yake ya kuongeza matumizi ya wapangaji au fremu za maduka baadae.
Kwahiyo meter itapokea wire mmoja wa umeme toka kwenye nguzo (Live na neutral), kisha kwenye out put utatoka wire mmoja tu wa neutral ambao utaenda kwenye nyumba zote (branching) zinazotaka kugawana umeme, halafu kutakuwa na wira kadhaa (mfano 6) za live ambazo zitaenda kwenye kila nyumba inayofanyiwa separation, ambapo kila wire ya live itakuwa na ‘Circuitry’ yake inayojitegemea ndani ya meter.
Kwahiyo wapangaji wote 6 wakitaka kununua umeme, wataingiza namba ile ile ya meter, ila tu mbele wataweka (/1) , (/2) , (/3) nk. kulingana na nyumba yake imechukua umeme toka kwenye output ya kwanza, pili, tatu nk. , hivyo akilipa umeme utaenda kwenye nyumba yake tu na sio zingine. Pia kwa kuongeza, mtu akinunua umeme, meter ijiwashe automaatic kama king’amuzi bila kuingiza tokeni.
Faida kuu: Badala ya kutumia milioni 2 kufunga meter 6 , sasa utatumia laki 3 na ishirini tu.
———————————————————-
Pia itaondoa multiple taxation ya kodi ya majengo ambapo nyumba moja hulipiwa kodi ya majengo na kila meter, hata kama zipo 10.
TANESCO
Mteja akiomba meter, atasema anataka yenye output ngapi (line 1, 2 ,3, 4, 5 au 6) kulingana na matarajio yake ya kuongeza matumizi ya wapangaji au fremu za maduka baadae.
Kwahiyo meter itapokea wire mmoja wa umeme toka kwenye nguzo (Live na neutral), kisha kwenye out put utatoka wire mmoja tu wa neutral ambao utaenda kwenye nyumba zote (branching) zinazotaka kugawana umeme, halafu kutakuwa na wira kadhaa (mfano 6) za live ambazo zitaenda kwenye kila nyumba inayofanyiwa separation, ambapo kila wire ya live itakuwa na ‘Circuitry’ yake inayojitegemea ndani ya meter.
Kwahiyo wapangaji wote 6 wakitaka kununua umeme, wataingiza namba ile ile ya meter, ila tu mbele wataweka (/1) , (/2) , (/3) nk. kulingana na nyumba yake imechukua umeme toka kwenye output ya kwanza, pili, tatu nk. , hivyo akilipa umeme utaenda kwenye nyumba yake tu na sio zingine. Pia kwa kuongeza, mtu akinunua umeme, meter ijiwashe automaatic kama king’amuzi bila kuingiza tokeni.
Faida kuu: Badala ya kutumia milioni 2 kufunga meter 6 , sasa utatumia laki 3 na ishirini tu.
———————————————————-
Pia itaondoa multiple taxation ya kodi ya majengo ambapo nyumba moja hulipiwa kodi ya majengo na kila meter, hata kama zipo 10.
TANESCO