Nadhan serikali hufanya mambo yao kwa mipango kuliko unavyowaza wewe!
Kubadili luku nchi nzima kuna hitaji bajeti!
Pia kwasasa hao jamaa wanafunga smart meter! Pia kwa umeme wetu sishauri sana kuwa na Dual meter kwasasa fault ni nyingi sana!
Wayaring katika nyumba nyingi haziko sawasawa sana ..hivyo zikiletwa hizo dual meter haziwezi kuhimili mikiki ya umeme wetu mtakuja kuwalaum emergency bure tu!. Kuhusu gharama inaweza kuwa ndogo lakini changamoto zikawa nyingi kufanya replacement ya wingi wa mita zitakazokuwa zinaharibika kama simu za kichina.
Haya ni maoni yangu tu lakini kama fundi umeme samico 0711756341