We mzee ha ha haWatanzania kwa kuendekeza na kupenda anasa kwa kupenda umeme wakati kuna jua na mwezi unawaka kila siku. Mbona mababu zetu waliishi bila umeme na walikuwa na furaha tu na maisha yakaenda?
bora hata ume google ukaona hakuna viability hapoCha kushangaza, nimejaribu kutafuta online kama kuna meter za line nyingi kama zinatengenezwa nchini China au kwingineko sijaziona kabisa, ugumu wake ni nini hasa kiasi hadi leo hazipo available kwenye market?
GHARAMA ZA MITA TUNAWEZA KUZIONDOA KWA KUANZA KUTUMIWA KWA MITA HIZI KWA WATEJA WAPYA NA KUBADILISHA MITA MBOVU.Nadhan serikali hufanya mambo yao kwa mipango kuliko unavyowaza wewe!
Kubadili luku nchi nzima kuna hitaji bajeti!
Pia kwasasa hao jamaa wanafunga smart meter! Pia kwa umeme wetu sishauri sana kuwa na Dual meter kwasasa fault ni nyingi sana!
Wayaring katika nyumba nyingi haziko sawasawa sana ..hivyo zikiletwa hizo dual meter haziwezi kuhimili mikiki ya umeme wetu mtakuja kuwalaum emergency bure tu!. Kuhusu gharama inaweza kuwa ndogo lakini changamoto zikawa nyingi kufanya replacement ya wingi wa mita zitakazokuwa zinaharibika kama simu za kichina.
Haya ni maoni yangu tu lakini kama fundi umeme samico 0711756341
Umeme ni uchumi,umeme ni usalama,ni maendeleo na sioni chochote cha faida bila umeme!Watanzania kwa kuendekeza na kupenda anasa kwa kupenda umeme wakati kuna jua na mwezi unawaka kila siku. Mbona mababu zetu waliishi bila umeme na walikuwa na furaha tu na maisha yakaenda?
MITA KUUNGUA KWA MZIGO MKUBWA KWA MITA MOJA(OVERLOAD).Cha kushangaza, nimejaribu kutafuta online kama kuna meter za line nyingi kama zinatengenezwa nchini China au kwingineko sijaziona kabisa, ugumu wake ni nini hasa kiasi hadi leo hazipo available kwenye market?
Hii inaatatulika kwa kutumia wire mnene zaidi kwenye upande wa inputMITA KUUNGUA KWA MZIGO MKUBWA KWA MITA MOJA(OVERLOAD).