Nyumba moja kuwa na meter kumi za LUKU haina maana, Napendekeza LUKU moja iwe na line nyingi kama simu

Watanzania kwa kuendekeza na kupenda anasa kwa kupenda umeme wakati kuna jua na mwezi unawaka kila siku. Mbona mababu zetu waliishi bila umeme na walikuwa na furaha tu na maisha yakaenda?
We mzee ha ha ha
 
Cha kushangaza, nimejaribu kutafuta online kama kuna meter za line nyingi kama zinatengenezwa nchini China au kwingineko sijaziona kabisa, ugumu wake ni nini hasa kiasi hadi leo hazipo available kwenye market?
bora hata ume google ukaona hakuna viability hapo
kwa haraka haraka, limita litakuwa likubwa, maana kila njia ndani ya mita inabidi iwe na PT, L-CT,N-CT, Relay yake
watakacho share vitu vidogo sana
 
Swala ni uaminifu, kila mtu aorotheshe vitu vyote vinavyotumia umeme na Watts zake, anatumia kwa mda gani , alipe kulingana na matumizi. Nyumba itatulia bila malumbano.
 
GHARAMA ZA MITA TUNAWEZA KUZIONDOA KWA KUANZA KUTUMIWA KWA MITA HIZI KWA WATEJA WAPYA NA KUBADILISHA MITA MBOVU.
 
Watanzania kwa kuendekeza na kupenda anasa kwa kupenda umeme wakati kuna jua na mwezi unawaka kila siku. Mbona mababu zetu waliishi bila umeme na walikuwa na furaha tu na maisha yakaenda?
Umeme ni uchumi,umeme ni usalama,ni maendeleo na sioni chochote cha faida bila umeme!
 
Cha kushangaza, nimejaribu kutafuta online kama kuna meter za line nyingi kama zinatengenezwa nchini China au kwingineko sijaziona kabisa, ugumu wake ni nini hasa kiasi hadi leo hazipo available kwenye market?
MITA KUUNGUA KWA MZIGO MKUBWA KWA MITA MOJA(OVERLOAD).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…