ushauri mzuri, but hiyo ni mteja mwenyewe atoe offer yake then ampe hizo facts/hints.Finishing bado kwenye hii nyumba, na finishing ndio core y ujenzi wenyewe! Mwambie boss bado bei yake iko juu sana kulingana na garama zilizobaki za kukamilisha ubora wa nyumba. Huo ndio ukweli wangu
kwanin upigwe?? hiyo pesa mnalipana mitandaoni?Mkuu kwa kuwasaidia weka namba ya Mjumbena Mwenyekiti wa mtaa na majina yao hapa kwa kuwasaidia. Natumai kuna watu wanaitaka sema wanahisi kupigwapigwa. Watoe wasiwasi mkuu.
65M kwangu parefu. Ingekuwa 35M walauinvestment hiyo mkuu!
jongea