Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Mie offer yangu ni tofautisi ndo ulikuja na yule sister wako (madam) akakataa?
(alinitaarifu)
Nipo busy km huyo muuzaji anaweza kukubali kwenye namba hiyo, niambie.ok, kesho ukiwa na nafasi tuwasiliane ukaione.
Tatizo hapo ni kuzunguka zunguka. Muulize offer hiyo huyo mtuingekua ni mimi ningekuambia ndio au hapana, siwezi kukujibu kuwa atakataa au atakubali. (agiza mtu aliye around aje)
45miloffer yako ya 40m ame reject boss.
next time.
hii sio gari gari mkuu kwamba ina depreciation, mteja wa mwisho alitoa offer ya 48m ikakataliwa, na next week on 26th inaweza lipiwa na mwana jf mmoja wapo ameshaongea na mzee kwa 55m.45mil
Kila la kheri Mkuuhii sio gari gari mkuu kwamba ina depreciation, mteja wa mwisho alitoa offer ya 48m ikakataliwa, na next week on 26th inaweza lipiwa na mwana jf mmoja wapo ameshaongea na mzee kwa 55m.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante dalali i!Nyumba nzuri sana.naijua IPO mtaani kwetu na haina mgogoro wowote.ni mpya