Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Nyumba inapangishwa Ubungo (kibo) kituo cha kwanza cha mwendokasi kama unaelekea kimara, kutembea ni dakika nne tu toka kituo mwendo kasi, ni mita chache tu toka kituoni, ziko mbili kwenye compound, kila moja inajitegemea maji na umeme, nyumba zina vyumba viwili kimoja master, sebule, jiko la makabati, na choo cha pablic, nyumba ni mpya na haijawahi kuishi mtu, Nyumba zipo ndani ya fensi, ni mpya na ni nzuri sana.
Kwa maelezo nichek kwa 0684448888 au 0713415537
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo nichek kwa 0684448888 au 0713415537
Sent using Jamii Forums mobile app