House4Rent Nyumba mpya na za kisasa zinapangisha Ubungo.

House4Rent Nyumba mpya na za kisasa zinapangisha Ubungo.

Msipende kusingizia madalali bila kujua, mm nimepambana sana bei ishuke hizo nyumba, ila kutokana na ukaribu wake na road na kutokana na vitu vya dhamani alivyooweka mwenye nyumba kakomaa na hiyo bei,
Kumbuka mm hapo siangalii cha juu, naangalia ya mwezi, unadhan hata ikipangishwa kwa 200k mimi nikipata ya udalali ya mwezi nina hasara gani?
Nimepata mteja wa 350k nampeleka namuombea kwa mwenye nyumba kakataa, wewe hapo utasema ni dalali,
Nyumba kweli ni mpya na ni nzuri, na ziko karibu kabisa na barabara, ika bei imekomaa.. ngoja tuendelee kupambana huenda bei ikashuka.
Kama kakataa hiyo atamtafuta huyo mteja Kwa tochi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi za mvua ndio nzuri kuchek nyumba
 
Frem Ipo kariakoo gerezani Inapangishwa laki 7 kodi ya mwaka Ipo mtaa mzuri wa biashara
 
Ungana na familia yako.. Mabao una roho ya korosho,
Mngekuwa na roho nzuri mngekuwa mnapandishia watu kodi? Ungekuwa hapa karibu ningekukung'uta bonge la konzi utosi ukukae sawa uache kudai kodi ya mwezi kwenye nyumba usiyojua bei ya tofali
 
Mngekuwa na roho nzuri mngekuwa mnapandishia watu kodi? Ungekuwa hapa karibu ningekukung'uta bonge la konzi utosi ukukae sawa uache kudai kodi ya mwezi kwenye nyumba usiyojua bei ya tofali

Jinga kweli wewe, unafaa vibao vya kelebu, Huna pesa kaa kimya, acha kulia lia kama Danga, nani alikuambia madalali wanapandisha kodi ya nyumba, acha upunguani wako, soma uzi viziri, Tafuta pesa, na fanya yako,
 
Jinga kweli wewe, unafaa vibao vya kelebu, Huna pesa kaa kimya, acha kulia lia kama Danga, nani alikuambia madalali wanapandisha kodi ya nyumba, acha upunguani wako, soma uzi viziri, Tafuta pesa, na fanya yako,
Mkuu nikitaka Vyumba viwili na sebule maeneo ya kimara au mabibo naweza pata kwa sh ngapi????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom