Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Haina hadhi ya 200,000 , soko la nyumba limeshuka sana, hata fremu za biashara, sasa huko mtafuga popo, hakuna hela za mchezo mchezo, wekeni bei halisi ya 100,000 kila mnyonge aweze kumuduIna fence na geti la kisasa
Ina vyumba vitatu (3) kimoja
ni Master bedroom
Inside public toilet na outside public toilet (choo cha mlinzi)
Stoo, Parking kubwa ya paving, Sebule, Dining na Jiko
Maji yapo + Umeme (Luku)
Kodi: TZS. 200,000/= (Unalipa mpaka miezi mitatu)
Call: 0717 650800
View attachment 1472967
@Jaji mfawidhiHaina hadhi ya 200,000 , soko la nyumba limeshuka sana, hata fremu za biashara, sasa huko mtafuga popo, hakuna hela za mchezo mchezo, wekeni bei halisi ya 100,000 kila mnyonge aweze kumudu
Wacha kupotosha mkuu, kufanya hivyo hakukusaidii chochote.Hii nyumba niliwahi kumuunganishia mdogo wangu.
Samahani kama nakuharibia, waliishia kumla 10,000 ya kuonyeshwa nyumba though gharama za kwenda aligharamia mwenyewe.
Ukifika kimara mwisho , unapanda Noah ni 500 then unashuka kituo cha mwisho , ukishuka kwenye Noah unapanda bodaboda 1000.
Sasa imagine unaenda mjini na mkeo kila siku
[emoji134]Nyumba mbaya sana hata bure sikai
Mimi ni mtu mzima now 30's kwanini nikae niongope na ndio kwanza nipo kwenye maombi ya kufunga.
yako nzuri iko wapi?Nyumba mbaya sana hata bure sikai
SawaHio nyumba sio ya kisasa, ila sema ina marumaru tu. Ujenzi wa hivyo ni ujenzi wa mwaka 1997 kuweka canopy yenye maua maua!
yako nzuri iko wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aisee noma sanaaHii nyumba niliwahi kumuunganishia mdogo wangu.
Samahani kama nakuharibia, waliishia kumla 10,000 ya kuonyeshwa nyumba though gharama za kwenda aligharamia mwenyewe.
Ukifika kimara mwisho , unapanda Noah ni 500 then unashuka kituo cha mwisho , ukishuka kwenye Noah unapanda bodaboda 1000.
Sasa imagine unaenda mjini na mkeo kila siku
Kimara Mwisho - GolaniIpo kimara sehemu gani mkuu
Kilo mita ngapi kutoka bara barani