iwe kama ya BICHWA KOMWE -Kwani nyumba ya mkuu wa majeshi mstaafu inatakiwa iweje?
Huyu shujaa (RIP) Alikuwa ni Kizazi cha kizalendo cha akina Nyerere wa enzi hizo. Siyo kizazi cha sasa ambacho kinaendekeza ubinafsi na ulimbkizaji wa mali zisizo za halali na sisi waTanzania wa sasa tunependa kushabikia na kuona mafisadi kama watu waliofanikiwa kumbe ni opposite tulipaswa kuwachukia na kuwalaani. Mungu ampumzishe kwa amani Shujaa wetu Gen Musuguli !Kwani nyumba ya mkuu wa majeshi mstaafu inatakiwa iweje?
Iwe kama ile ya Machame ๐๐JKT waikarabati, haina hali nzuri
hata hii ya mwanza hapa kiseke nayo ya kawaida tuNi kweli hata nyumba ya kijijini ya kawaida sana.
Oaaa weeeh
Ya machame ipi hiyo? Ya Mbowe?Iwe kama ile ya Machame ๐๐
Ndio maana kaishi maisha marefu.Usisahau alikua na wake watano! Kila mtu huwekeza apendapo!
Lakini kaishi miaka mingi kuliko Matajiri.Wake 5= wakwe 10 = mashangazi/wajomba 20.
Kama@mke kazaa. watoto 5= watoto 25.
Jumla kuu ya wategemezi wa Msuguri= watu 60 (bila kuweka masheji).
Umaskini kautaka mwenyewe
hili la udini alisha lijibia halina maana yoyote kuliendelezaHakutaka watz wawe matajiri,alitaka walingane vipato,usimuamini nyerere,ukimsikia anavyopinga udini utasema siyo mdini wakati ni chief architect,huyo cdf mwenyewe sijui mzanaki mwenzie!!?
Wakati Mwamunyange amejengewa Kasri la maanaTanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA ๐บ๐ธ.
Hakika !Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA ๐บ๐ธ.
Ndiye msanifu mkuu wa udini,usidanganywe na kujifanya kwake kushangaa udinihili la udini alisha lijibia halina maana yoyote kuliendeleza
Hata Kobe anaishi miaka mingi sana (150) lkn ya mateso. Msuguri hajatafuna bata vya kutosha, hakuwa akienda vacation Dubai na kwingineko.Lakini kaishi miaka mingi kuliko Matajiri.
Sio kwamba alikuwa maskini. Alikuwa anakula, analala, anambato, anasinzia vizuri.
Sasa kakosa nini hapo?
Mmmh !Materialistic people wanaliumiza Taifa!
Weka picha ya Nyumba yake hapa!Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA ๐บ๐ธ.
Mtu kuamua kuishi simple life sio Umasikini. !Wake 5= wakwe 10 = mashangazi/wajomba 20.
Kama@mke kazaa. watoto 5= watoto 25.
Jumla kuu ya wategemezi wa Msuguri= watu 60 (bila kuweka masheji).
Umaskini kautaka mwenyewe