Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Leo wazalendo kama akina Kafulila wanaonekana ni kero
 
Kutokujenga Mtumishi wa Umma Kwa mshahara wa talakimu sita ni kujitakia

Mshahara wa CDF ni zaidi ya milioni 12 Kwa Mwezi kama sijakosea.

CDF Mstaafu anakula 80% ya 12M, ambayo ni milioni 9.6 Kwa Mwezi

Ukisema ukope ili kujenga, Kwa mshahara huo haukosi kukopeshwa shilingi milioni 300.

Kwa maisha ya Kibongo Bongo, nyumba ya milioni 300 ni nyumba ya ghorofa moja yenye Vyumba zaidi ya vitano vya Kisasa

Kumbuka huyo CDF anagharamiwa na Serikali kuanzia chakula cha asubuhi hadi akitaka kuamka na kula saa 8 za Usiku.

Kwahiyo mshahara wake hautumii kwenye kununua chakula kama Mimi na wewe
Umenichekesha hiyo akitaka kuamka kula saa 8nza usiku....

Wewe si unaona wanapanga wawalipe mishahara wanawake wao wanakaa tu nyumbani, yaani nashukuru si mwanasiaha...ningetapika

Wanasiasa ni walafi asikuambie mtu.

Kuna mfano mmoja wa watoto wa shule za kayumba hawana outing na kama wakitoka kishule wanakwenda dsm zoo. Watoto wao kwenye English medium wanakwenda South Africa, Dubai na ufaransa
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
USA Unafanya Nini mzalendo?
 
Back
Top Bottom