UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Mkuu, kumbe tayari umeshaukata?Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Tupeane michongo basi 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kumbe tayari umeshaukata?Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Bichwa kwa sasa anawaza kufukua mitralo tuu mbwa yuleFwata mfano wa BICHWA KOMWE - mwenye mjengo wake.
CCM inatengeneza majangili tupuTanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Tangu ameokoka naona kuna kanafuu kidogo, hawazi sana kufukuliwa INYE.Bichwa kwa sasa anawaza kufukua mitralo tuu mbwa yule
Kwanza huwezi ukakaa na wezi halafu usiwe mwizi. Nani hataki kujenga hekalu kama hela za bure bure zipo ni kusaini makaratasi tu.🤣Kwa nyakati hizi ukiwa kwenye Ofisi za umma na hauibi ujitakirishe unaonekana mshamba.
Kwani kutukuza ujamaa ambao sio tuu ndio Chanzo Cha wizi Bali ndio mzizi wa umaskini na incompetence ya Watanzania,hakuna mtu angependa kuendelea na utaratibu wa hivyo.Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Yaani inavuja au!?Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Kama naona hela za mafao wanavyopiganiaHuko ni kijijini.tuoneshe na ya mbezi na za mikoa mingine.Mtu anawake watano na wote Wana V8GXR ambazo zinahudumiwa na serikali kuanzia mafuta,maji,umeme,matibabu,chakula,ulinzi,nyumba ya serikali,pesa ya kwenda kutalii Nchi atakayo n.k.Hako kajumba ulikokaona alimjengea bibi yake.
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono na miguu.Kwani nyumba ya mkuu wa majeshi mstaafu inatakiwa iweje?
Tatizo utajiri wa wengi ni wa magumashi😂! Mtu utajiri anaupatia akiwa ofisini anaachaje kuwa mwiziTz mtu akiwa tajiri anaitwa mwizi, ila akiwa masikini anaitwa mzalendo.
Alichukia utajiri na kumuona tajiri ni bepari mnyonyajiHakuchukia utajiri bali alichukia utajiri haramu wa kutumia mali za umma kujineemesha
Ukifuata utaratibu utachelewa sanaTatizo utajiri wa wengi ni wa magumashi😂! Mtu utajiri anaupatia akiwa ofisini anaachaje kuwa mwizi
Yule bibie moto unamuhusuTangu ameokoka naona kuna kanafuu kidogo, hawazi sana kufukuliwa INYE.
Ukifuata utaratibu utachelewa sana
Kwani unafikiri sahizi ikatokea imefanyika Forensic Investigation ya mali za waajiriwa wengi walioporomosha mahekalu Kigamboni halafu serikali iamue kutaifisha mbona tutazika wengi sanaAlichukia utajiri na kumuona tajiri ni bepari mnyonyaji
Ila tusema TU, ukweli kambarage alikuwa na akili za kimaskini mno, dio alieingiza tz kwenye ujinga na umaskini wa kutupwaAlichukia utajiri na kumuona tajiri ni bepari mnyonyaji
Mleta uzi anamawazo ya kijamaaKutokujenga Mtumishi wa Umma Kwa mshahara wa talakimu sita ni kujitakia
Mshahara wa CDF ni zaidi ya milioni 12 Kwa Mwezi kama sijakosea.
CDF Mstaafu anakula 80% ya 12M, ambayo ni milioni 9.6 Kwa Mwezi
Ukisema ukope ili kujenga, Kwa mshahara huo haukosi kukopeshwa shilingi milioni 300.
Kwa maisha ya Kibongo Bongo, nyumba ya milioni 300 ni nyumba ya ghorofa moja yenye Vyumba zaidi ya vitano vya Kisasa
Kumbuka huyo CDF anagharamiwa na Serikali kuanzia chakula cha asubuhi hadi akitaka kuamka na kula saa 8 za Usiku.
Kwahiyo mshahara wake hautumii kwenye kununua chakula kama Mimi na wewe
Unamawazo ya kimasikini.Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.
Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.
Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.
Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.
Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.
Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.