Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
CCM inatengeneza majangili tupu
 
Kwa nyakati hizi ukiwa kwenye Ofisi za umma na hauibi ujitakirishe unaonekana mshamba.
Kwanza huwezi ukakaa na wezi halafu usiwe mwizi. Nani hataki kujenga hekalu kama hela za bure bure zipo ni kusaini makaratasi tu.🤣

Hivi utakaaje kijinga wakati wenzio unaona wanafanya maendeleo makubwa japo kwa udokozi.
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Kwani kutukuza ujamaa ambao sio tuu ndio Chanzo Cha wizi Bali ndio mzizi wa umaskini na incompetence ya Watanzania,hakuna mtu angependa kuendelea na utaratibu wa hivyo.
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Yaani inavuja au!?
 
Huko ni kijijini.tuoneshe na ya mbezi na za mikoa mingine.Mtu anawake watano na wote Wana V8GXR ambazo zinahudumiwa na serikali kuanzia mafuta,maji,umeme,matibabu,chakula,ulinzi,nyumba ya serikali,pesa ya kwenda kutalii Nchi atakayo n.k.Hako kajumba ulikokaona alimjengea bibi yake.
Kama naona hela za mafao wanavyopigania
 
Kwani nyumba ya mkuu wa majeshi mstaafu inatakiwa iweje?
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono na miguu.

Mtu mweusi ana kasumba ya kipumbavu sana kwamba ukijenga jumba kubwa la kifahari na gorofa labda eti ndio inakupa hadhi jambo ambalo ni totally wrong.

Mtu atapata Heshima kulingana na mchango wake kwenye jamii na namna anavyoji associate nao.

Hayo mambo mengine hayaongezi thamani ya humanity ya mtu ,unaweza ukafa na mapesa Yako baada ya kuzikwa ukasahaulila kama mzoga.
 
ALiondoka miaka mingi sana kwenye hiyo nyumba na baada ya ukaondoka tu hata walinzi waliokuwa wanalinda hapo wakaondoka.

Kiufupi kwa eneo hilo kwa miaka aliyokuwapo ilikuwa ni moja ya nyumba bora sana.

KWa msuguri imekuwa kwa haraka sana lkn ni ndani ya miaka 2005 na kuendelea.
 
M
Kutokujenga Mtumishi wa Umma Kwa mshahara wa talakimu sita ni kujitakia

Mshahara wa CDF ni zaidi ya milioni 12 Kwa Mwezi kama sijakosea.

CDF Mstaafu anakula 80% ya 12M, ambayo ni milioni 9.6 Kwa Mwezi

Ukisema ukope ili kujenga, Kwa mshahara huo haukosi kukopeshwa shilingi milioni 300.

Kwa maisha ya Kibongo Bongo, nyumba ya milioni 300 ni nyumba ya ghorofa moja yenye Vyumba zaidi ya vitano vya Kisasa

Kumbuka huyo CDF anagharamiwa na Serikali kuanzia chakula cha asubuhi hadi akitaka kuamka na kula saa 8 za Usiku.

Kwahiyo mshahara wake hautumii kwenye kununua chakula kama Mimi na wewe
Mleta uzi anamawazo ya kijamaa
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Unamawazo ya kimasikini.

Hii kitu inatakiwa ikemewe kabisa. Mtu akipata fursa anatakiwa aitumie ilete matunda kwake na kwa jamii inayomzunguka.

Mtu unakaa maisha ya ajabu ajabu afu unakuta jitu linakuja kusifia hapa.. afu likienda kwenye magorofa linapiga picha na kuji snap snap.. unafiki sanaa.
 
Back
Top Bottom