Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Kwani unafikiri sahizi ikatokea imefanyika Forensic Investigation ya mali za waajiriwa wengi walioporomosha mahekalu Kigamboni halafu serikali iamue kutaifisha mbona tutazika wengi sana
Wapo watumishi wa umma wanafanya shughuli nje ya utumishi na wanna vipato,nyerere siyo kwamba hakutaka watumishi tu wawe matajiri bali hata raia,watz wote walifanya vipato/umasikini
 
Ila tusema TU, ukweli kambarage alikuwa na akili za kimaskini mno, dio alieingiza tz kwenye ujinga na umaskini wa kutupwa
HAPANA naona unaongea kinyume chake na sikushangai sababu wewe ni zao la kizazi Cha WEZI, mafisadi na madalali nyakati hizi.

Hakuna raisi aliyekuwa na maono na mwenye Nia ya dhati kabisa ya kulitoa taifa hili kwenye umasikini kama Nyerere.... Na ndio maana aliamu kwenda na sera ya kiuchumi isiyokuwa na matabaka (socialism) licha ya kushauriwa na watu wengi sana kwamba sera huyo ilikuwa haifai..!!

Mi naamin kabisa ingekuwa ndio kizazi Cha baba zenu hawa wezi wakishirikiana na nyie vijana wao mliojawa na tamaa ya utajiri wa haraka haraka, kwa enzi zile mgeuza rasilimali zoote mpaka bahari, lakini Nyerere pamoja na vishawishi viingi alivyokutana navyo Bado hakufanya huo ujinga.
 
Wapo watumishi wa umma wanafanya shughuli nje ya utumishi na wanna vipato,nyerere siyo kwamba hakutaka watumishi tu wawe matajiri bali hata raia,watz wote walifanya vipato/umasikini
Hao watumishi wa umma wanaofanya biashara wapo hatukatai... Lakini je, umewahi kuchunguza kwenye hizo biashara hiyo mitaji wanatoa wapi???

Kuna mtumishi anafanya kazi TAMISEMI na ana cheo Cha kawaida sana, ila mwaka Jana huko Mwanza amenunua viwanja viwili pembezoni mwa Bara Bara ile ya AIRPORT na Kila kiwanja kimemgharimu zaidi ya 300m naskia anampango wa kuweka Fremu Tena za gorofa, Sasa hebu tujiulize hela za kufanya hayo yote ametoa wapi? Na hapo hapo Bado watoto wake wanasoma shule za maana sana.

Halafu unavyosema kwamba Nyerere hakutaka hata raia wa Kawaida wawe matajiri una ushaidi na Hilo au unayopokeleaga tu kutokana na chuki zako za kidini? Yaani kitendo Cha yeye kuwataka watu waliokuwa wanaishi maisha ya Anasa waweke chanzo Cha vipato vyao wewe ndio unatafsiri kwamba hakutaka watu wawe matajiri????

Hebu niambie kivipi hakutaka wawe matajiri???
 
uliwahi kumsikia akijibia hili na kama ulimsikia alisemaje
Alikua na kawaida ya kulikana jambo kwa uso mkavu hata kama ulimuona akifanya,ile kauli yake'wameanza kuongea kuhusu udini...' ni uwongo mtupu kama ilivyokua uwongo wa kumpora jumbe madaraka,kuunga mkono biafra nk,mrejelee tundu lissu alivyosema bungeni kuhusu nyerere
 
Alikua na kawaida ya kulikana jambo kwa uso mkavu hata kama ulimuona akifanya,ile kauli yake'wameanza kuongea kuhusu udini...' ni uwongo mtupu kama ilivyokua uwongo wa kumpora jumbe madaraka,kuunga mkono biafra nk,mrejelee tundu lissu alivyosema bungeni kuhusu nyerere
tundu lissu ni nani hadi awe rejeo langu mkuu, nimekuuliza uliwahi msikia akijibia tuhuma hizo na kama ndio alisemaje

niwekee ushahidi wako wa udini wake hapa

yaani lissu mgombea madaraka ulitaka amsifie nyerere na ccm kweli mkuu
 
Hao watumishi wa umma wanaofanya biashara wapo hatukatai... Lakini je, umewahi kuchunguza kwenye hizo biashara hiyo mitaji wanatoa wapi???

Kuna mtumishi anafanya kazi TAMISEMI na ana cheo Cha kawaida sana, ila mwaka Jana huko Mwanza amenunua viwanja viwili pembezoni mwa Bara Bara ile ya AIRPORT na Kila kiwanja kimemgharimu zaidi ya 300m naskia anampango wa kuweka Fremu Tena za gorofa, Sasa hebu tujiulize hela za kufanya hayo yote ametoa wapi? Na hapo hapo Bado watoto wake wanasoma shule za maana sana.

Halafu unavyosema kwamba Nyerere hakutaka hata raia wa Kawaida wawe matajiri una ushaidi na Hilo au unayopokeleaga tu kutokana na chuki zako za kidini? Yaani kitendo Cha yeye kuwataka watu waliokuwa wanaishi maisha ya Anasa waweke chanzo Cha vipato vyao wewe ndio unatafsiri kwamba hakutaka watu wawe matajiri????

Hebu niambie kivipi hakutaka wawe matajiri???
Huyo wa tamisemi si kuna mikopo siku hizi,kama aliberi laki akala 20m,akalima miaka kadhaa na sasa ana pesa,shida iko wapi?..gunia la vitunguu march-april ni laki nne,ekari moja vitunguu utapata gunia 120-150,ukilima ekari kumi utapata bei gani
Kuhusu umasikini wa watz nimeukuta,mahitaji muhimu yalipatikana duka la kaya,maana yake fursa ya biashay,kilimo biashara haipo,bali ni uchumiywa kujikimu
 
tundu lissu ni nani hadi awe rejeo langu mkuu, nimekuuliza uliwahi msikia akijibia tuhuma hizo na kama ndio alisemaje

niwekee ushahidi wako wa udini wake hapa

yaani lissu mgombea madaraka ulitaka amsifie nyerere na ccm kweli mkuu
Inakuaje rais unapambana kuvunja taasisi ya dini isiyo dini yako?.. kwenye nchi unayonasibu kuwa haina dini, hadharani unasema waislam hawana elimu kwa kuwa mtoa elimu alikua mkoloni, inakuaje miaka 25 baadae upogo huo wa elimu unaendelea kuwepo kwa serikali uliyoiongoza?..tena wizara ya elimu ikiwa haijawahi shikwa na muislam bali kiongozi wa kidini wa dini yako na wanaofaulu kuanzia la saba asilimia kubwa ni wa dini yako?..inakuaje kiongozi unazipa ruzuku taasisi za dini yako Ili zijiendeshe na kuzisamehe kodi bandarini?..unataifisha shule na vitu vingine' lakini baadhi ya shule za taasisi ya dini yako hutaifishi wakati dini nyingine umezuwia kabisa wasijenge shule kwa kuwa itattaifishwa?
 
Hakutaka watz wawe matajiri,alitaka walingane vipato,usimuamini nyerere,ukimsikia anavyopinga udini utasema siyo mdini wakati ni chief architect,huyo cdf mwenyewe sijui mzanaki mwenzie!!?
Mbona hoja zako ni nyepesi sana na hazina kichwa Wala miguu wewe jamaa?

Hakutaka watu wawe matajiri kwa misingi ipi? Kwa hiyo unataka kusema kipindi Chake hapakuwepo na matajiri kabisa ehee??? Bila shaka wewe utakuwa unatoka familia za kifisadi na ufisadi kwenu huko damuni na pengine kuna Babu yako ambaye ni miongoni mwa watanzania wasomi wa mwanzo kabisa enzi tunapata uhuru na alikula shavu kwenye serikali ya Nyerere na hakufanikiwa kujitajirisha kwa njia ya ufisadi kutokana na uangalizi mkali wa Nyerere, basi tangia hapo ndio mnaamini Nyerere hakutaka watu wawe matajiri.... Tunawajua watu wenye Akali kama zako.

Na pia Kuna tatizo gani CDF kuwa mtu anayetoka kabila Moja na raisi??? Kwamba raisi akiwa Muha basi hatakiwi kabisa kumteuwa CDF Muha?? Mbona una akili za kikabila sana wewe?

Kuhusu udini hakuna watu wenye chiki za kidini kama nyie waislamu na hata awamu zenu huwa zimetawaliwa na udini mwingi sana pamoja na kwamba kuongoza nchi hamuwezi... Angalia ni awamu za maraisi wa dini ambapo kunakuwaga na ufisadi uliokithiri na mambo mengi ya ovyoo
 
Huyo wa tamisemi si kuna mikopo siku hizi,kama aliberi laki akala 20m,akalima miaka kadhaa na sasa ana pesa,shida iko wapi?..gunia la vitunguu march-april ni laki nne,ekari moja vitunguu utapata gunia 120-150,ukilima ekari kumi utapata bei gani
Kuhusu umasikini wa watz nimeukuta,mahitaji muhimu yalipatikana duka la kaya,maana yake fursa ya biashay,kilimo biashara haipo,bali ni uchumiywa kujikimu
Acha kuleta calculations ambazo haziko realistic wewe, hizo hesabu unazopiga hapo ni za kwenye makaratasi ambazo haziko applicable kihalisia na pia mara nyingi wezi wakitaka kujutetea wapi wametoa hela ndio wanazileta....

Kwanza unajua hata huyo mtumishi ninayemuongelea ana muda gani hapo kazini???

Halafu kwanza unaanzaje kuniletea Mimi assumptions ya kubeti kwenye mijadala serious namna hii?? Yaani yote hii ni kupinnga tu kwamba hakuna WIZI unaofanywa na hao watumishi huko serikalini?

Wewe akili huna kabisa
 
Kama hadi raia wa kawaida aliwafosi wawe maskini hilo ni tatizo.
Ujamaa ni sera ngumu sana kuipandikiza kwa watu wakaielewa. Ujamaa unahitaji kiongozi awe dikteta atumie nguvu kulazimisha watu wafanye vile anavyotaka yeye.

Mjomba wangu aliuawa na wanamgambo wa kijamaa baada ya kukataa kuhama katika eneo lake alilokuwa akiishi na familia yake ~kajijenga ana ng'ombe ,mbuzi ,kondoo, kuku ,Bata na kadhalika. Sheria ikamtaka akaungane na wanakijiji wenzie ili wauende Kijiji cha ujamaa, akakataa ,matokeo yake wale mgambo wakachoma nyumba zake na mabanda ya mifugo ili kumshinikiza ahamie kwenye Kijiji cha ujamaa, ukatokea ugomvi mkubwa sana ambao ulipelekea kifo chake.

Mnakwenda kulima mashamba ya ujamaa, matokeo yake Kuna majamaa miongoni mwenu ni mvivu ~ badala ya kuweka bidii kwenye kulima shambani yeye kazi yake kubwa ni kwenda kujisaidia Kila wakati. Katika hali kama hiyo ni nani atakuwa na Ari ya kujituma? Kumbuka mvuno yanakuwa Mali ya Kijiji.

Darasani; wewe unakesha unajisomea kiasi cha kuloweka miguu kwenye beseni la maji ili upate alama nzuri na matokeo mazuri, wakati huo huo roommate na classmate wako anakesha disko na night club. Mnafanya mtihani wewe unafaulu classmate wako anafeli ,kwakuwa ni ujamaa inabidi wewe umgawie alama zako ili walau muwe sawa. Ni nani njinga kiasi hiko kuwa ataendelea kukesha darasani ilhali anajua wazi fulani hajitumi halafu atagawana alama na anayejituma?

Hata kwa Mungu si kweli kwamba binadamu wote ni sawa. Ndio sababu Kuna waafrika, wazungu, wahindi, waarabu, warefu, wafupi, walemavu na kadhalika.

Ujamaa ni upuuzi ambao hautekelezeki. Hao wachina tumekaa nao Dar visa zao zilishaisha muda wa kuendelea kukaa hapa nchini lakini wanakuambia Tanzania ni nchi nzuri sana kuishi ukilinganisha na kwao simply kwasababu ya uhuru wa mtu binafsi
 
Ujamaa ni sera ngumu sana kuipandikiza kwa watu wakaielewa. Ujamaa unahitaji kiongozi awe dikteta atumie nguvu kulazimisha watu wafanye vile anavyotaka yeye.

Mjomba wangu aliuawa na wanamgambo wa kijamaa baada ya kukataa kuhama katika eneo lake alilokuwa akiishi na familia yake ~kajijenga ana ng'ombe ,mbuzi ,kondoo, kuku ,Bata na kadhalika. Sheria ikamtaka akaungane na wanakijiji wenzie ili wauende Kijiji cha ujamaa, akakataa ,matokeo yake wale mgambo wakachoma nyumba zake na mabanda ya mifugo ili kumshinikiza ahamie kwenye Kijiji cha ujamaa, ukatokea ugomvi mkubwa sana ambao ulipelekea kifo chake.

Mnakwenda kulima mashamba ya ujamaa, matokeo yake Kuna majamaa miongoni mwenu ni mvivu ~ badala ya kuweka bidii kwenye kulima shambani yeye kazi yake kubwa ni kwenda kujisaidia Kila wakati. Katika hali kama hiyo ni nani atakuwa na Ari ya kujituma? Kumbuka mvuno yanakuwa Mali ya Kijiji.

Darasani; wewe unakesha unajisomea kiasi cha kuloweka miguu kwenye beseni la maji ili upate alama nzuri na matokeo mazuri, wakati huo huo roommate na classmate wako anakesha disko na night club. Mnafanya mtihani wewe unafaulu classmate wako anafeli ,kwakuwa ni ujamaa inabidi wewe umgawie alama zako ili walau muwe sawa. Ni nani njinga kiasi hiko kuwa ataendelea kukesha darasani ilhali anajua wazi fulani hajitumi halafu atagawana alama na anayejituma?

Hata kwa Mungu si kweli kwamba binadamu wote ni sawa. Ndio sababu Kuna waafrika, wazungu, wahindi, waarabu, warefu, wafupi, walemavu na kadhalika.

Ujamaa ni upuuzi ambao hautekelezeki. Hao wachina tumekaa nao Dar visa zao zilishaisha muda wa kuendelea kukaa hapa nchini lakini wanakuambia Tanzania ni nchi nzuri sana kuishi ukilinganisha na kwao simply kwasababu ya uhuru wa mtu binafsi
😂😂😂😂😂😂 Kwahio hawataki kurudi kwao? Tuwatimue tu kama South Africa wanavyofukuza watu
 
Back
Top Bottom