Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Hawataki kurudi kwao 😀😀
Ni huu umaskini tu ila bongo maisha ni lami kama kibunda kipo. Hutatamani kwenda nchi yeyote ile. Maana starehe zote zipo hapa nchini kwa level zote.

Wenzetu kwa nchi walizotoka uchumi ni mkubwa sana mchina kumiliki milion 100 kwao kwetu ni kama mtu mwenye million 1 tu hana maajabu hapa bongo. Wao wakija bongo wanaanzia kwenye mitaji ya million 200-500 starehe wanazozifanya na kutamba wanatamba na kupata heshima anayopata mtu mwenye billion 10 china.

Utaachaje kupapenda bongo.
 
Jeshi limebadilika zama zao ilikuwa ukistaafu unapotea na kwenye public life. Unaenda kuwa low key (hata ukifanya ufisadi uonyeshi) wazi kama ilivyo kwa wanajeshi wa sasa. Lakini si kusema hawakuwa wadokozi kabisa.

Halafu ni Dar tu idadi ya watu imeongezeka na mji umekuwa ila kabla ya miaka ya 90 kuipata nyumba ya Msuguri ilikuwa unakatiza migomba balaa, ndio unakutana na kijiji chake katikati kuna nyumba kama mbili hivi zimejaa watoto wake tu. Sasa kama sehemu kubwa ya eneo lake watoto waliuza wamepata hela.
 
Ulilileta hili wewe kumlaumu Nyerere kwa udini unasahau kwanza bila Nyerere mngeishia kusoma kitabu cha majini
Eamws unaijua?!..kulikua na agha khan ndani, mpango wa elimu ulikuwepo wakitaka kujenga university chang'ombe, nyerere aliifanya nini hiyo taasisi!!
 
Eamws unaijua?!..kulikua na agha khan ndani, mpango wa elimu ulikuwepo wakitaka kujenga university chang'ombe, nyerere aliifanya nini hiyo taasisi!!
Hamna aliezuiwa kujenga shule wala Hospital 🏥 ila nyie na zaka zenu za buku buku hamuwezi jenga na mwarabu atachimba kisima msikitini hana mentality ya elimu 😄 🤣 😂 acheni kulaumu laumu hadi wasabato na suti zao wamewashinda
 
Hamna aliezuiwa kujenga shule wala Hospital 🏥 ila nyie na zaka zenu za buku buku hamuwezi jenga na mwarabu atachimba kisima msikitini hana mentality ya elimu 😄 🤣 😂 acheni kulaumu laumu hadi wasabato na suti zao wamewashinda
Unazungumzia lini?..leo kuna shule zaidi ya mia tatu za kiislam,na hapo tumeanza miaka ya 80 baada ya waziri wa kwanza muislam kushika wizara ya elimu na kusema hakuna kizuwizi cha kujenga shule, maana kabla,wizara ya elimu ilikua kigango cha kanisa na watendaji wakikwaza waislam waliotaka jenga shule
 
Unazungumzia lini?..leo kuna shule zaidi ya mia tatu za kiislam,na hapo tumeanza miaka ya 80 baada ya waziri wa kwanza muislam kushika wizara ya elimu na kusema hakuna kizuwizi cha kujenga shule, maana kabla,wizara ya elimu ilikua kigango cha kanisa na watendaji wakikwaza waislam waliotaka jenga shule
Mawaziri waislamu walikuwepo toka 1961 ikawaje shule hadi miaka ya 80!! However 300 bado ni chache na bila shaka performance is mostly poor maana hamtaajiri competent mwalim kama sio dini yenu wala ku admit wanafunzi wasio wa dini yenu! You ow to lern from the Christians how did they get to where they are today instead of giving blatant lies and blame games
 
Inategemeana yeye aliamua kuwekeza wapi , kama wake tano ulifikiri angeweza simamisha mjengo kweli,,? Dah apumzike anapostahili
 
Mawaziri waislamu walikuwepo toka 1961 ikawaje shule hadi miaka ya 80!! However 300 bado ni chache na bila shaka performance is mostly poor maana hamtaajiri competent mwalim kama sio dini yenu wala ku admit wanafunzi wasio wa dini yenu! You ow to lern from the Christians who did they get to where they are today instead of giving blatant lies and blame games
Waziri gani wa elimu alikua muislam kabla ya malima 1987/88?

Wewe kajinga sana,dycc imekua shule bora dar kwa miaka tangu 2005, sekondari dycc hawana div 3,ubungo islamic inakimbiza miaka,mudio nk,man competence gani wakati mnaiba mitihani!?
 
Tumefika zama mkuu wa mkoa haendishi magari ya kiserikali anaendesha magari ya anasa na yeye anatamba kumiliki gari ghali kwa mshahara milioni 5 anamilikia gari ya milioni 300
 
Ndio maana wakina Mwigulu wanawakamua. Mtu kaamua kuishi maisha yake simpo tu na hajacomplain popote pale mnamnanga.
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Nojuavyo hawa watu wanakua usalama pia,moja ya siri kubwa kwao nikua msiri usitegemee atangaze alichonacho au aliowekeza mtamuona mjinga lkn akawa na mengine ameyaficha au kuandika majina ya watu wengine
 
Back
Top Bottom