Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Lakini pia nyakati hizi wizi na ubadhilifu vimekuwa jambo kijanja na ushindi kwa mtumishi wa umma......kiasi kwamba mtu akipata teuzi anaonekana ameula.......na akitumikia taifa kwa weledi na uaminifu mpaka akastaafu akiwa masikini anaoenekana bwege na kuchekwa.......

Lakini pia serikali yetu ina usimamizi na utaratibu mbovu kwa wastaafu waliowahi kumwaga jasho lao wakilipigania taifa hili........

Jasho lao la damu na la kizalendo wanakuja kulipwa matusi, kejeli na dharau na serikali yao waliyoipigania.....

Yote haya yanachochea wizi na ubadhilifu kwa watumishi waliopo kwenye nafasi nyeti na hata zisizo nyeti kwani hata wao wanayaona mateso, dhiki na dharau wanazofanyiwa wastaafu hivyo wanajilipa kabisa kwa kuiba na kuwekeza ili kuziepuka aibu za uzeeni ya kuomba kilichokuwa chako.....
Nakumbuka kipindi kile Magufuli ndio ameingia madarakani akafuta sitting allowances, akaziba Ziba na mianya yote ya upigaji hasa ile ya mishaara hewa.

Kuna watumishi baadhi waliachaga kazi na sababu waliyokuwa wanatoa eti serikalini Sasa Hivi hakuna maisha...

Yaani mbongo sehemu anayoajiriwa kama hakuna mianya ya wizi na ubadhirifu haijalishi analipwa mshaara kiasi gani yeye anakwambia sehemu hiyo Haina maisha... Na bahati mbaya sana hii imekuwa ni culture iliyokomaa
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Picha wapi?
 
Udini
Hakutaka watz wawe matajiri,alitaka walingane vipato,usimuamini nyerere,ukimsikia anavyopinga udini utasema siyo mdini wakati ni chief architect,huyo cdf mwenyewe sijui mzanaki mwenzie!!?
Udini wa Nyerere ni kuzitaufisha shule za wakatoliki na waislamu wakaingizwa mule kusoma
 
Udini

Udini wa Nyerere ni kuzitaufisha shule za wakatoliki na waislamu wakaingizwa mule kusoma
Utaifishaji wa shule ilikua ni janja ya nyerere kuwazuwia waislam wasijenge shule zao,maana waislam walikua na msuli wa kifedha,sasa ukitaifisha shule maana yake utapata fursa ya kuwachuja shule za umma,alitaifisha shule lakini si shule zote za kanisa,huo ni ubalakala
 
Acha kuleta calculations ambazo haziko realistic wewe, hizo hesabu unazopiga hapo ni za kwenye makaratasi ambazo haziko applicable kihalisia na pia mara nyingi wezi wakitaka kujutetea wapi wametoa hela ndio wanazileta....

Kwanza unajua hata huyo mtumishi ninayemuongelea ana muda gani hapo kazini???

Halafu kwanza unaanzaje kuniletea Mimi assumptions ya kubeti kwenye mijadala serious namna hii?? Yaani yote hii ni kupinnga tu kwamba hakuna WIZI unaofanywa na hao watumishi huko serikalini?

Wewe akili huna kabisa
Wizi upo,nani kapinga?!..lakini kila mtumishi wa umma huiba!...je bei ya vitunguu march-april dar haifiki laki tatu mpaka nne march april,je watumishi hawawezi kopa wakalima!?..je wakati wa nyerere hapakua na wizi?
 
Mbona hoja zako ni nyepesi sana na hazina kichwa Wala miguu wewe jamaa?

Hakutaka watu wawe matajiri kwa misingi ipi? Kwa hiyo unataka kusema kipindi Chake hapakuwepo na matajiri kabisa ehee??? Bila shaka wewe utakuwa unatoka familia za kifisadi na ufisadi kwenu huko damuni na pengine kuna Babu yako ambaye ni miongoni mwa watanzania wasomi wa mwanzo kabisa enzi tunapata uhuru na alikula shavu kwenye serikali ya Nyerere na hakufanikiwa kujitajirisha kwa njia ya ufisadi kutokana na uangalizi mkali wa Nyerere, basi tangia hapo ndio mnaamini Nyerere hakutaka watu wawe matajiri.... Tunawajua watu wenye Akali kama zako.

Na pia Kuna tatizo gani CDF kuwa mtu anayetoka kabila Moja na raisi??? Kwamba raisi akiwa Muha basi hatakiwi kabisa kumteuwa CDF Muha?? Mbona una akili za kikabila sana wewe?

Kuhusu udini hakuna watu wenye chiki za kidini kama nyie waislamu na hata awamu zenu huwa zimetawaliwa na udini mwingi sana pamoja na kwamba kuongoza nchi hamuwezi... Angalia ni awamu za maraisi wa dini ambapo kunakuwaga na ufisadi uliokithiri na mambo mengi ya ovyoo
Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma
 
Mbona hoja zako ni nyepesi sana na hazina kichwa Wala miguu wewe jamaa?

Hakutaka watu wawe matajiri kwa misingi ipi? Kwa hiyo unataka kusema kipindi Chake hapakuwepo na matajiri kabisa ehee??? Bila shaka wewe utakuwa unatoka familia za kifisadi na ufisadi kwenu huko damuni na pengine kuna Babu yako ambaye ni miongoni mwa watanzania wasomi wa mwanzo kabisa enzi tunapata uhuru na alikula shavu kwenye serikali ya Nyerere na hakufanikiwa kujitajirisha kwa njia ya ufisadi kutokana na uangalizi mkali wa Nyerere, basi tangia hapo ndio mnaamini Nyerere hakutaka watu wawe matajiri.... Tunawajua watu wenye Akali kama zako.

Na pia Kuna tatizo gani CDF kuwa mtu anayetoka kabila Moja na raisi??? Kwamba raisi akiwa Muha basi hatakiwi kabisa kumteuwa CDF Muha?? Mbona una akili za kikabila sana wewe?

Kuhusu udini hakuna watu wenye chiki za kidini kama nyie waislamu na hata awamu zenu huwa zimetawaliwa na udini mwingi sana pamoja na kwamba kuongoza nchi hamuwezi... Angalia ni awamu za maraisi wa dini ambapo kunakuwaga na ufisadi uliokithiri na mambo mengi ya ovyoo
Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma..

Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma..
 
Utaifishaji wa shule ilikua ni janja ya nyerere kuwazuwia waislam wasijenge shule zao,maana waislam walikua na msuli wa kifedha,sasa ukitaifisha shule maana yake utapata fursa ya kuwachuja shule za umma,alitaifisha shule lakini si shule zote za kanisa,huo ni ubalakala
Kwanini waislamu hawakujenga shule kabla ya uhuru?
Maana waarabu walitangulia Tanganyika kabla ya wazungu however wazungu wakajenga shule zao kabla Nyerere hajazaliwa wakati wavaa vipedo wanachimba visima vya kuwadha wakimalizwa swala zao na kukariri kitabu cha majini
 
Kwanini waislamu hawakujenga shule kabla ya uhuru?
Maana waarabu walitangulia Tanganyika kabla ya wazungu however wazungu wakajenga shule zao kabla Nyerere hajazaliwa wakati wavaa vipedo wanachimba visima vya kuwadha wakimalizwa swala zao na kukariri kitabu cha majini
Ndugu yangu akimaliza kukujibu aje aseme waislamu wana NGO gani kubwa hapa nchini inayosaidia jamii ? Na wamejenga chuo, taasisi au hospitali kubwa ipi hapa nchini ?
 
Kwanini waislamu hawakujenga shule kabla ya uhuru?
Maana waarabu walitangulia Tanganyika kabla ya wazungu however wazungu wakajenga shule zao kabla Nyerere hajazaliwa wakati wavaa vipedo wanachimba visima vya kuwadha wakimalizwa swala zao na kukariri kitabu cha majini
Hili linahusiana nini na mada?
 
Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Wazanaki wamezoea nyumba za nyasi.
 
Back
Top Bottom