Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Nyumba ya General Musuguri Temboni "kwa Msuguri" jijini Dar

Tanzania imempoteza kiongozi muhimu na hodari Gen David Musuguri.

Nimekuwa nikifuatilia vyombo kadhaa vya habari ambavyo vimekuwa vikitujuza juu ya historia ya Gen Musuguri.

Nimesikiliza kwa makini mahojiano ya majirani zake Gen Musuguri Temboni Kwa Msuguri.

Nimeitazama nyumba ya Gen Musuguri kwa hakika ni nyumba ya kawaida sana huwezi kuamini ni nyumba ya CDF mstaafu.

Viongozi wa enzi za Mwl hawakuwa wezi.Itoshe kusema baada ya Mwl taifa lilitengeneza viongozi wezi,wabadhirifu na wasio na mapenzi ya nchi na watu wake.

Mungu aipumzishe roho ya Hayati Gen Musuguri mahali pema peponi.

Ngongo kwasasa USA 🇺🇸.
Wazanaki kamwe hatuna tabia ya Uwizi na Kujilimbikizia Mali badala yake huwa tunaridhika kwa tukipatacho ambacho ni halali yetu huku tukijitolea kufanya Kazi za nchi (katika maeneo na Idara mbalimbali) kwa Uadilifu, Uzalendo na Uaminifu Uliotukuka.
 
Kwanini waislamu hawakujenga shule kabla ya uhuru?
Maana waarabu walitangulia Tanganyika kabla ya wazungu however wazungu wakajenga shule zao kabla Nyerere hajazaliwa wakati wavaa vipedo wanachimba visima vya kuwadha wakimalizwa swala zao na kukariri kitabu cha majini
Waarabu siyo watu wa kujenga vitu mfano upo Zanzibar ukienda kule Zanzibar hakuna shule wala hospitali na misikiti iliyojengwa na Waarabu, Shule zao kongwe zimejengwa na wasio Waislamu mfano Shule ya Fidel casto, Shule ya Lumumba hizi ni shule Kongwe. Yani Zanzibar kukuta Vitu vya Waarabu ni ngumu zaidi ya kukuta Majengo ya kuishi wao tu. Nitofauti na Wazungu wao wakiweka kambi sehemu lazima wataacha vitu kwa jamii iliyo wazunguka. Yani ata miundombinu yao kule Zanzibar ni mibovu yani kisiwa kimezungukwa na bahari lakini mpaka leo wanachimba machimo ya choo. Yani ata barabara kubwa za kule Zipo hovyo hovy.
 
Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma..

Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma..
Na wewe kama unajijua uwezo wa kushiriki mijadala mipana iliyokuzidi uwezo wako wa kifikra kama huu usiwe unaandika upumbavuu ukitegemea watu wenye akili tutakukalia kimya...

Mtu mjinga asiyekuwa na shule kama wewe haukupaswa hata kuwa na account ya social media maana huwa mnataka awe mjinga kama nyie kwa kusapoti hoja zenu za kijinga ambazo hazina kichwa Wala miguu.

Hapo ulipo bichwa lako halina kitu Cha maana zaidi ya ukabila na chuki za kidini... Na ndio maana mnaongoza kwa wizi japo mnajifanyaga mmeshika sana hiyo deni yenu, maana hamna maarifa ya kutafuta kihalali.

Haya log out uende ukajadiliane na mudi Yuko huko mskitini anakusubiri Tena amekuandalia mabikra 6 jinga la mwisho wewe.
 
Kajadiliane na mtu mwenye hoja zenye miguu na mkia ndugu yangu,na Mungu wako wa kizanaki,mle na ugali wa mtama na nyama za kuchoma
Akili huna hata kidogo ndio na kichwani kwako una mtindio wa ubongo, wewe hujiulizi ni kwanini hata masheikh wenzako waliomo humu hawajaja kukuunga mkono tangu umeanza kuchangia hii mada??

Kwa sababu Hauna hoja na hoja zako zote ni mfu na ni mtu mjinga na muhafidhina wa kidini ambaye akilini mwake amejaza mashudu ya madrasa ndio atakuunga mkono....!!
 
Waislamu wengi akili zenu mavi sana kubishana na nyie ni kupoteza muda tu.

Nyie mtu yeyote asiye muislamu ni mdini na ni kafiri.

Mtu anaeamini utumbo kama huo utajadili nae nini?
Hao majitu huwa yanajua sana KUPIGA kelele za udini, ile yenyewe ndio mabaguzi hatari na Tena ubaguzi wao huwa ni wa wazi wazi, mtu asipokuwa wa dini yao kwao ni taka taka tu na huwa hawamjali kabisa.

Sasa hivi linalalamika kubaguliwa kielimu hapa bara kitu ambacho Wala hata hakina uthibitisho, ila huwezi kuskia likiongelea ubaguzi wanaofanyiwa wakristu huko Zanzibar kwa miaka yote.
 
Kwani nyumba ya mkuu wa majeshi mstaafu inatakiwa iweje?

Labda analinganisha na nyumba za kia Kabeyo na Waitara. Amesahau kuwa wakati Msuguli anastaafu Tanzania watu walikuwa hawajui interlocks, tiles wala aluminum windows or doors. Hiyo nyumba anayoidharau sasa enzi zile ndiyo ilikuwa deal .....!!
 
Wizi upo,nani kapinga?!..lakini kila mtumishi wa umma huiba!...je bei ya vitunguu march-april dar haifiki laki tatu mpaka nne march april,je watumishi hawawezi kopa wakalima!?..je wakati wa nyerere hapakua na wizi?
Kwenye comments zako za awali ulikuwa unapinga kuhusu kuwepo kwa wizi serikalinj eti sijui hao watumishi ni wafanyabiashara au tukuoneshe hapa???

Na pia hakuna mahali niliposema Kila mtumishi wa serikali anaiba uwe unasome kuelewa akili kisoda wewe... Ukweli wengi waliomo humo serikalini ni WEZI na wabadhirifu wakubwa.

Na pia kwanini unaleta habari za biashara ya vitunguu hapa? Kwamba watumishi wote wenye majumba na miradi mikubwa isiyoendana na vipato vyao ni wakulima wa vitunguu na ndio imewawezesha kuishi maisha ya anasa tunayowaona nayo leo huku mtaani???? Mbona hoja zako ni za kijinga hivi??

Muda ule uliniletea hoja ya kubeti eti yawezekana wanabeti na ndio chanzo Cha utajiri wao?? Hivi wewe Hamad una akili hata kidogo kweli?

Kwanza unajua hata idadi wa wakulima ambao pia ni watumishi ni wachache sana?? Watumishi wengi huwa wanajihusisha na kilimo baada ya kustaafu....Sasa wewe hapa unataka tuamini eti pesa zote walizonazo wamezitolea jasho na wakati ukweli hawajaziangaikia hata kidogo zaidi ya kufoji tu matumiz na kufanya overestimations za ajabu ajabu kwenye pesa za miradi... Wewe jamaa ni mbuzi kabisa.

Wakati wa Nyerere hapakuwepo na wezi ndio, tutajie hao wezi waliofanya ufisadi kipindi Cha Nyerere halafu baba wa taifa akabaki anawaangalia tu kama ambavyo tumeona kipindi Cha Kikwete na Samia watu wakipiga mabilioni na Bado hawafanywi kitu chochote
 
Kwenye comments zako za awali ulikuwa unapinga kuhusu kuwepo kwa wizi serikalinj eti sijui hao watumishi ni wafanyabiashara au tukuoneshe hapa???

Na pia hakuna mahali niliposema Kila mtumishi wa serikali anaiba uwe unasome kuelewa akili kisoda wewe... Ukweli wengi waliomo humo serikalini ni WEZI na wabadhirifu wakubwa.

Na pia kwanini unaleta habari za biashara ya vitunguu hapa? Kwamba watumishi wote wenye majumba na miradi mikubwa isiyoendana na vipato vyao ni wakulima wa vitunguu na ndio imewawezesha kuishi maisha ya anasa tunayowaona nayo leo huku mtaani???? Mbona hoja zako ni za kijinga hivi??

Muda ule uliniletea hoja ya kubeti eti yawezekana wanabeti na ndio chanzo Cha utajiri wao?? Hivi wewe Hamad una akili hata kidogo kweli?

Kwanza unajua hata idadi wa wakulima ambao pia ni watumishi ni wachache sana?? Watumishi wengi huwa wanajihusisha na kilimo baada ya kustaafu....Sasa wewe hapa unataka tuamini eti pesa zote walizonazo wamezitolea jasho na wakati ukweli hawajaziangaikia hata kidogo zaidi ya kufoji tu matumiz na kufanya overestimations za ajabu ajabu kwenye pesa za miradi... Wewe jamaa ni mbuzi kabisa.

Wakati wa Nyerere hapakuwepo na wezi ndio, tutajie hao wezi waliofanya ufisadi kipindi Cha Nyerere halafu baba wa taifa akabaki anawaangalia tu kama ambavyo tumeona kipindi Cha Kikwete na Samia watu wakipiga mabilioni na Bado hawafanywi kitu chochote
Wewe ni bogus,wapi nilikataa hakuna wizi serikalini?!.. vitunguu ni mfano tu, ulitaka nitaje kila zao,ulienda shule?..hujui kuwa wakati wa nyerere mtu akifisidi ofisi moja atahamishiwa nyingine kwa kisingizio cha wasomi hawatoshi?..mpwae warioba alikua rushwa ushirika,huko ushirika wakati wa nyerere ufisadi ulikua kawaida, mashirika ya umma ya nyerere ufisadi kawaida hadi yakafa

Wanaojali utawala bora hawawezi mfunga mtu kama mahakama imeshindwa mkuta na hatia mtuhumiwa, tofauti na hapo wekeni sheria ukituhumiwa ufungwe bila ushahidi
 
Na wewe kama unajijua uwezo wa kushiriki mijadala mipana iliyokuzidi uwezo wako wa kifikra kama huu usiwe unaandika upumbavuu ukitegemea watu wenye akili tutakukalia kimya...

Mtu mjinga asiyekuwa na shule kama wewe haukupaswa hata kuwa na account ya social media maana huwa mnataka awe mjinga kama nyie kwa kusapoti hoja zenu za kijinga ambazo hazina kichwa Wala miguu.

Hapo ulipo bichwa lako halina kitu Cha maana zaidi ya ukabila na chuki za kidini... Na ndio maana mnaongoza kwa wizi japo mnajifanyaga mmeshika sana hiyo deni yenu, maana hamna maarifa ya kutafuta kihalali.

Haya log out uende ukajadiliane na mudi Yuko huko mskitini anakusubiri Tena amekuandalia mabikra 6 jinga la mwisho wewe.
Kuna kiongozi fisadi kuzidi mkapa na magu nchi hii!?..mkapa aliuza migodi na mashirika ya umma kwa bei za kutupa,akajioa mgodi wa kiwira,akafungua bank,magu trillion mbili anajua alikozipeleka,hela za plea bargain akaunti iko china
Halafu unazungumzia kuhusu akili ukinasibisha na imani yangu,hizi akili!?
 

Attachments

  • FB_IMG_1727106260795.jpg
    FB_IMG_1727106260795.jpg
    36.6 KB · Views: 2
Wazanaki kamwe hatuna tabia ya Uwizi na Kujilimbikizia Mali badala yake huwa tunaridhika kwa tukipatacho ambacho ni halali yetu huku tukijitolea kufanya Kazi za nchi (katika maeneo na Idara mbalimbali) kwa Uadilifu, Uzalendo na Uaminifu Uliotukuka.
Kumbe ndugu wewe ni mzanaki?
 
Waarabu siyo watu wa kujenga vitu mfano upo Zanzibar ukienda kule Zanzibar hakuna shule wala hospitali na misikiti iliyojengwa na Waarabu, Shule zao kongwe zimejengwa na wasio Waislamu mfano Shule ya Fidel casto, Shule ya Lumumba hizi ni shule Kongwe. Yani Zanzibar kukuta Vitu vya Waarabu ni ngumu zaidi ya kukuta Majengo ya kuishi wao tu. Nitofauti na Wazungu wao wakiweka kambi sehemu lazima wataacha vitu kwa jamii iliyo wazunguka. Yani ata miundombinu yao kule Zanzibar ni mibovu yani kisiwa kimezungukwa na bahari lakini mpaka leo wanachimba machimo ya choo. Yani ata barabara kubwa za kule Zipo hovyo hovy.
Hahahahaahah 😃 😃 😃 badala ya kuulaumu utamaduni wao wanazusha mfumo kristu
 
Wewe ni bogus,wapi nilikataa hakuna wizi serikalini?!.. vitunguu ni mfano tu, ulitaka nitaje kila zao,ulienda shule?..hujui kuwa wakati wa nyerere mtu akifisidi ofisi moja atahamishiwa nyingine kwa kisingizio cha wasomi hawatoshi?..mpwae warioba alikua rushwa ushirika,huko ushirika wakati wa nyerere ufisadi ulikua kawaida, mashirika ya umma ya nyerere ufisadi kawaida hadi yakafa

Wanaojali utawala bora hawawezi mfunga mtu kama mahakama imeshindwa mkuta na hatia mtuhumiwa, tofauti na hapo wekeni sheria ukituhumiwa ufungwe bila ushahidi
Wewe utakuwa una funza kwenye ubongo wewe hicho kichwa chako kimeoza kwa ndani bila ya wewe kujua.... Nimekwambia asilimia kubwa ya hao watumishi ni WEZI na ni wachache sana wenye uadilifu, wewe ukaanza kuwatete mara sijui wanabeti(utetezi wa kipumbavvu kabisa) na wengine wanafanya kilimo Cha vitunguu, Sasa nimekuuliza unajua hao wanaojiongeza kwenye kilimo ni wangapi ukalinganisha na wale ambao mbali na mishaara hawajishugulishi na kingine chochote kabisa lakini Bado maisha yao ni ya kufuru yasioendana kabisa na kipato chao??? Mbona hoja nyepesi kama hii umeshindwa kuilewa wewe sheikh majini?

Kwenye serikali ya Nyerere ufisadi uliokuwepo ni very insignificant kulinganisha na awamu iliyofuata ya mzee wa ruksa(muisilamu mwenzio), hebu niambie ufisadi wowote uliolitikisa taifa kwenye awamu ya Nyerere kulinganisha na awamu za maraisi waisilamu, na pia sula la watumishi kuhamishwa sababu ya uchache wao huoni kwamba inaleta logic?

Kwanza tangu mwanzo wa hii mada unachokisimamia ni kutetea wizi na kuona kiongozi anayezuia wizi na ufisadi hataki watu wawe matajiri, Sasa hizo si akili za kipumbavvu halafu ndio mnajifanyaga mmeshika dini?

Kwenye awamu ya Kikwete tumeona majizi ya escrow yakiwekwa adharani na ushaidi ukiwepo lakini hakuna hatua yoyote yaliyochukuliwa, halafu huko hapa unaniletea habari za utawala Bora?? Seme nyie watu wakishikaga serikali huwa ni kama mnahalalisha wizi na ufisadi kiasi kwamba Sasa hivi watanzania wanawambia kwenye awamu ya raisi muisilamu hela nje nje, ovyo sana nyie watu.
 
Na wahindi hawawezi kuwa waislam,agha khan ni mtu,kaunda taasisi kaipa jina lake, nyerere akiwaambia waislam agha khan ni shia ismailia,wakamuuliza inakuhusu nini!?
Hakuna kabila la wahindi Tanganyika.Kama mnampenda sana huyu Aghakan nendeni India tuachieni Tanganyika yetu.
 
Kuna kiongozi fisadi kuzidi mkapa na magu nchi hii!?..mkapa aliuza migodi na mashirika ya umma kwa bei za kutupa,akajioa mgodi wa kiwira,akafungua bank,magu trillion mbili anajua alikozipeleka,hela za plea bargain akaunti iko china
Halafu unazungumzia kuhusu akili ukinasibisha na imani yangu,hizi akili!?
Inafahamika wazi kuwa Mkapa alibinafsisha mashirika mengi ya umma hili kuleta mageuzi ya haraka ya kiuchumi baada ya kugundua serikali Haina energy ya kuyaendesha mashirika hayo na yakaleta matokeo chanya kwa haraka.

Magufuli ufisadi wa trillion mbili hakuna anayeweza kuthibitisha Zaid ya kuskia tu maneno ya mkaguzi mkuu wa serikali na hearsays za diaspora...!!

Njoo kwenye kwenye awamu za wavaa kobazi tukianza na mzee wa ruksa pale ndio ujambazi na uvamizi wa benki ulipoanzia na awamu yake ndio iliasisi ufisadi wa mabilioni nchi hii, maana yeye mwenyewe alikuwa anatamka kwamba iba lakini tusikukamate Sasa umewahi kuwaza nchi ilipoteza pesa kiasi gani???

Njoo kwenye awamu ya mzee wa msoga Tena huyo ndio mpaka watoto wadogo walianza kujua neno ufisadi Lina maana gani, maana nchi iligeuka shamba la bibi kila mtu alikuwa anajimegea tu kadri anavyotaka na hakuna ufisadi ambao hatukuushudia kwenye awamu ile.....na kubwa Zaid ni mtoto wake kukamatwa na madawa ya kulevya China yeye akaona akoe uhai wa mwanae kwa kuwapa wachina uwekezaji wa kudumu wa gesi iliyopo mtwara, just imagine yaani mtu u aliweka rehani taifa kwa ajili ya ujinga wa mwanae, na sidhani kama Kuna kiongozi mwenye dhambi na aliyetia fola kwa ufisadi kama Kikwete.

Haya tuko na hiki kibibi Cha Zanzibar angalia nchi inavyojiendea tu utafikiri Haina mwenyewe na majizi yamerudi kwa Kasi ameshindwa kuyadhibiti... Mradi wa SGR budget ya awali ilikuwa hazizidi hata trillion 7 lakini wamekuja wahuni na majambazi aliyoyarudisha serikalini yamemwabia budget haitoshi na yeye akukubali kuongeza hela Tena kwa kukopa kopa ovyoo tu..

Ninaposema nyie Wala urojo na wavaa kobazi hamna akili ya kuongoza nchi uwe unaelewa basi, nyie mnachoweza ni kutumia uongozi kujinufaisha nyie na watu wenu wa karibu huku mkiwaacha majority wakitaabika, na Zaid ya yote ni kutengeneza matabaka tu, nyie mnachoweza labda ni kuongoza mskiiti tu basi
 
Back
Top Bottom