mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ngoja nivunje kibubu.ntakucheki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo bei awamu hii hupati aisee kuna mtu naye anauza eneo billion sasa ni 2 years hapati Mteja, awamu hii ardhi haina thamani kivile
Sawa800M si kitu kidogo..Ni Ujenzi wa Kituo Cha afya Hyo pesa Na Kwa Awamu Hii kama Unaitaji Pesa Ya Haraka Haraka Chukua ata 250M
Awamu hii property hazina soko ambaye hakuuza enzi za jakaya asiuze tenaKuna mtu anuza nyymba kali eneo la 4300sqr m ni ya gorofa ila leo karibu mwaka ss hajapata mteja
Hasara hiyo ardhi uliishusha ww?[emoji14]Hyo bei unayo propose ni hasara bora asiuze kabisa
Cha msingi asiuze tena siku zinavoenda ndo bei itazidi kushuka sanaHasara hiyo ardhi uliishusha ww?[emoji14]
Mkuu mimi nakushauri vuta upepo kwanza,subiri awamu hii ipite kwanza
Za Dr Shika ilikua Mbweni, hapo ni Mbezi beach. Hiyo bei kwa mtu mwenye uhitaji wanaeza kaa mezani ila mpaka apatikane kwa kipindi hiki ni ngumu kidogo. Ila watu mnao suggest mil 300 ni kidogo sana kwa eneo hiloHuwezi kuwa serious wewe......mill 800......wewe hivi iliona ile mijumba alionunua Dr shika? Itafanana na hyo inayotuonesha hapo?
Kuna siku Mungu atakujalia utazikamata ila hayo mawazo hautokua nayo. Utawaza kukaa na matajiri wenzako itakubidi umtafute jamaa aku uzie plot kwa mil 800 [emoji2]yani nanunua kiwanja kwa mil 800? naanza ujenz tena si bora niende uko kidomole napata kiwanja cha maana na ninajenga uku nafuga na kulima na chenji inabaki
Muambie ndg, asikate tamaa maisha hupanda na mwenye kuongeza thamani ya mtu ni Mungu mwenyeweKuna siku Mungu atakujalia utazikamata ila hayo mawazo hautokua nayo. Utawaza kukaa na matajiri wenzako itakubidi umtafute jamaa aku uzie plot kwa mil 800 [emoji2]
Kweli kabisaNguvu ya soko, kuna kipindi nyumba (real estate value) za dar zilikua juu kuliko hata za NYC,
Mkuu umewahi kujenga angalau nyumba yako ya kawaida?Hilo jengo mpaka limefikia hapo alizidi milion 70,kwa nini unauza bei kubwa?au kiwanja ndio kiko juu
Si kweli,msingi weka 15m,slab 1 weka 20,slab 2 weka 20;naongelea kwa uzoefuMkuu umewahi kujenga angalau nyumba yako ya kawaida?
Hiyo 70M ni ndogo sana kwa ile nyumba.
Bwana mdgo usha uza au bado ipo