Matangazo kama haya peleka zoom tanzania. Huku tutakuzingua tu uwe dissapointed bureee!daaah nilijua lazima utachafua tu[emoji3]
Hehehee jipinde mamaNinavyopeda nyumba mimi,ningepata wa kuninunulia hiyo nyumba ningempenda kwa moyo wangu wote
Sawa[emoji3] [emoji3] [emoji3] mwambie awahi basi
Haya mimi nashangaaHa haaa! Wacha nicheke kwanza. Ghorofa moja! Hicho kibwenzi hapo juu ndio ushaona ghorofa?