Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani JF mmejaa watu mna vituko sana!!Ha haaa! Wacha nicheke kwanza. Ghorofa moja! Hicho kibwenzi hapo juu ndio ushaona ghorofa?
Kumbe bas karbuNinavyopeda nyumba mimi,ningepata wa kuninunulia hiyo nyumba ningempenda kwa moyo wangu wote
Sijaelewa hapo kwenye hatimiliki ya miaka 33 naomba unifahamishe vizuri.nyumba inapatikana mtoni kijichi karibu na maghorofa ya jwtz.
MAELEZO husika.
1. ina vyumba vinne na vyote ni master bedrooms.
2. ina chumba cha kufulia
3.ina chumba cha kuwekea nguo (chumba cha kupigia pasi)
4.ina sebule kubwa na sehemu ya kupatia chakula.
5. ina hati miliki yenye ukomo wa miaka 33.
6. ina eneo lenye ukubwa wa square meter 1668
price : 480m (neg)
contact : 0756 832833
View attachment 865483View attachment 865482View attachment 865484View attachment 865485View attachment 865486View attachment 865488View attachment 865490View attachment 865489View attachment 865491View attachment 865492
Ngoja lile danga langu la ulaya lirudi ntaichukua hyo ghorofa yote
hati miliki hutolewa na wizara ya ardhi kuonesha umiliki halali wa nyumba au eneo husika.Sijaelewa
Sijaelewa hapo kwenye hatimiliki ya miaka 33 naomba unifahamishe vizuri.
NimerudiNgoja lile danga langu la ulaya lirudi ntaichukua hyo ghorofa yote