House4Sale Nyumba ya ghorofa moja inauzwa Mtoni Kijichi

House4Sale Nyumba ya ghorofa moja inauzwa Mtoni Kijichi

Ya ukweli, ila sasa ndio naamini kweli vyuma vimebana...
 
waliohitaji kuiona mnakaribishwa.
 
Sijaelewa
nyumba inapatikana mtoni kijichi karibu na maghorofa ya jwtz.
MAELEZO husika.
1. ina vyumba vinne na vyote ni master bedrooms.
2. ina chumba cha kufulia
3.ina chumba cha kuwekea nguo (chumba cha kupigia pasi)
4.ina sebule kubwa na sehemu ya kupatia chakula.
5. ina hati miliki yenye ukomo wa miaka 33.
6. ina eneo lenye ukubwa wa square meter 1668
price : 480m (neg)

contact : 0756 832833

View attachment 865483View attachment 865482View attachment 865484View attachment 865485View attachment 865486View attachment 865488View attachment 865490View attachment 865489View attachment 865491View attachment 865492
Sijaelewa hapo kwenye hatimiliki ya miaka 33 naomba unifahamishe vizuri.
 
Sijaelewa

Sijaelewa hapo kwenye hatimiliki ya miaka 33 naomba unifahamishe vizuri.
hati miliki hutolewa na wizara ya ardhi kuonesha umiliki halali wa nyumba au eneo husika.
hati miliki hulipiwa pango kama sehemu ya kodi kwa serikali kila mwisho wa mwaka, na mara nyingi hutolewa kuanzia miaka 33 na kuendelea.
mara mda wake unapoisha inakubidi ukabadilishe (renew) wizarani.
 
bei imeshuka wakuu
bi mkubwa kakwama
 
Back
Top Bottom