alishe familia nzima kwa child support ya usd 2000 kwa mwezi πππππhacha kutudanganyA wewe tunaijua hiyo familia vizuri kabisa
eti ako na pesa kwa Mradi upo alionao? Yeye asubili case iishie anaweza akapata kidogo anacho deserve
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikirialishe familia nzima kwa child support ya usd 2000 kwa mwezi πππππhacha kutudanganyA wewe tunaijua hiyo familia vizuri kabisa
eti ako na pesa kwa Mradi upo alionao? Yeye asubili case iishie anaweza akapata kidogo anacho deserve
Mke wa mengi alishafariki na waliachana na mumewe na nadhan waligawana kila kitu 50/50, kwa nini msikubali ukweli ya kwamba k-Lynn ndiye mke wa the late mengi na ana haki zote kama mke
Kama mengi alimuoa kama mke wake sisi ni. Nani Jaman tumpinge, ifike mahali tusijifanye tunajua sana familia za watu
Kama mali zingekua hazimuhusu kwenye nyumba ya marehemu anafanya nini?
Tukumbuke Jacky was a wife to Mengi not a concubine, hakua danga she was a formal wife
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri
nayo ni habari!Mjasiriamali na mwanamitindo maarufu, ambaye pia ni mjane wa aliyekua mfanyabiashara maarufu , the late Reginald mengi , Kupitia ukurasa wake wa Instagram , ame share video inayoonyesha mafuriko jinsi yalivyoikumba nyumba yake na kusambaratisha kila kitu .
Mwanamama huyo kwa masikitiko makubwa amasema mvua hyo imeharibu baadhi ya vitu ambavyo vilikua ni kumbu kumbu muhimu ya marehem mume wake.
View attachment 1606366
mume wakeView attachment 1606367
Nahisi uwanja tuwaachie wajuaji waendee si tuchape kaziInsurance hazilipi natural dissaster... navyojua mimi
Umeambiwa USD 2,000. Hiyo 5,000 sijui ulisikia wapiKwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri
Labda kama haijalipiwa insurance.. ila k kyn ana watoto wa mengi pia... na pale ni amepewa aishi na watoto wake.. unazani nani ana uwezo wa kuzuia bima wasilipie uharibifu ambao mkataba wao wanapaswa ku cover..
Tatizo wabongo wivu unatusumbua... k lyn ni mke halali wa mengi ana watoto wawili wa mengi.. hiyo tu inampa haki zote za kuhudumiwa na hao ipp directors...
Maskini hatuendelei kwa kuchukia matajiri...k lyn ni mjane wa tajiri .. kwa hiyo ana haki ya kuhudumiwa kivyovyote vile.. na wale watoto wa k lyn ndio maana wanasomeshwa IST na wakiwa wakubwa watapewa nafasi kwenye kampuni za baba yao..
K lyn hata iweje hawezi kuishi maisha ya sisi wa kutegemea mishahara mpaka kufa kwake.. k lyn hawezi kufikia level ya kupanda dala dala...labda atake mwenyewe kama lowassa alivyopanda mwaka 2015
Shida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..
Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..
Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?
Kwahiyo kwa USD 5000 kwa mwezi anashindwa lisha familia yako?? Halafu chengine..HV insurance wanalipa natural disasters au ndo uwezo wangu mdogo wa kufikiri
ipo sehemu gani?Nyumba iko kwenye mkondo wa maji
Zamani maeneo yote yalikuwa kuna mikoko
Hiyo boda tushalipita sana kwa miguu utotoni
Ilikuwa mikoko mitupu sasa maji Kuja hapo hata sishangai
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuishi na kumiliki kitu chenye jina lako ni vitu viwili tofautiShida wanawake wengi wanamuonea wivu k lyn..
Wanasahau k lyn kaolewa na mengi ki halali kabisa... na wakati mengi anamtongoza k lyn alikuwa mengi ni bachelor tayari ndoa imeshavunjika zamani... k lyn hajamuibia mtu mume..
Na pia kama k lyn hana haki...pale nyumba ya mengi kwa nini anaishi hajatimuliwa?
soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine
kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana
Kuishi na kumiliki kitu chenye jina lako ni vitu viwili tofauti
anagekua anapendwa sana angenunuliwa mansion Masaki akaishi huko akaachana na mafuriko Na akitoka kwenye nyumba ambayo michepuko wenzie waliishi
hakuna mtu anaemuonea wivu tapeli na international mdangaji
Ahaah Hongera kwa kupambana na umaskini, nauchukia sana umaskini
Lakini pia jacky kajitahid kupiga hatua kimaisha, why umchukie tajir mwenzio Jaman , mi najua Tajir hawez kumchukia mtu aliyemzid maisha
Huyu sio tajiri huyu ni tapeli anatumia K kufanya utapeli
atafute zake za kuweza kupanda business class tu na kulipia watoto school fees tumpe credits
sio business class za kulipiwa na IPP twice a year atoe mfukoni kwake afungue miradi kwa jasho lake tumsifie
sio atapeli mali zote alizokuta
Ah ah sasa huyu ndo typical mtanzania mama hivi we ukisema unaela MO aseme Ana nini ah ah shida Sana.....we na Jacky wote gold diggers ukute mshachukuliana wanaume basi beef mtindo mmoja...halafu wenzio wenye Ela wananunua nyumba Manhattan na kusomesha watoto ivy league sio hizi shule za kibongosoma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine
kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana