Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko


Akafanye nini Ivy League mtoto wa Miaka 6, sina hela lakini Nina uwezo wa kusomesha mtoto shule yoyote Africa na ulaya niitakayo bila kutegemea urithi wala digging for gold

nyinyi ndio wale wazazi mnaotuongezea wakina James delicious mtaani kwa Kua unajiona una hela Basi mtoto ukamtupe ulaya at a very young age bila kusimamia malezi yake kwa macho yako, Huruma kwa kweli
 
Jamaa una hasira, sasa si ungeacha kufuatilia uzi unaokuudhi?.
 
Kwanini tycoon late Mengi akajenga hapo?
Maji hayana adabu ,nashangaa MOGUL Le Bilionea Le Grande Mupao kaenda kujenga kwenye njia ya maji(MIKEKENJA) ,Kuna viwanja vizuri hata mvua inyeshe mwaka mzima hapajai maji lakini hakuenda kujenga!! Hawa mabilionea huwa wananishangaza sana!! Utakuta bilionea ameenda kujenga kwenye ukingo wa mto halafu amepiga mansion ya hatari,hatambui kwamba mto unaliwa na maji kila siku.
 
Mopao huyu huyu mokonzi?

Baba Didi Olomide? Eti?[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Anapata 2000$? Per month

Asee kashuka sana mweeh
 
[emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hivi tangia Mzee afariki Jacky ameshawahi kupanda ndege akaenda hata Kenya hapo??
 
Hivi alikwamaga wapi kkyin kujenga nyumba kwa jina lake aisee, matokeo anateseka kijinga
 
Mimi ni mwanamke na simuonei wivu huyo klyin so usipende ku generalize mambo
 
Kupanda daladala sio kosa au dhambi mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…