Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂maana anaogofya sasaKwani ni lazima ujenge mkuu [emoji276]
[emoji23]maana anaogofya sasa
Murife don't run. Murife don't runNdugu zangu naomba msaada kwa mwenye ujuzi katika ujenzi nataka nijenge kijijini pesa ngumu ngumu kweli je naweza jenga kwa kutumia material ya asili kama wajengavyo vijiji vya wenzetu nchi za mbali nifanyeje
Ushauri mzuri nashukuru mkuu ubarikiweFytatua tofali na vigae vya udongo vya kuezekea kisha utavichoma Ili viwe vigumu
Kwa maana naweza kuutumia kwa kupandisha ukuta wa mawe na ukawa ukuta imara au sio mkuuInawezekana kujenga maadamu tu upate udongo wa mfinyanzi unajenga tu nyumba nzuri na kubwa ya kisasa.
Haha wote wapoDuniani tunapita wewe unajenga ili iweje? Makao ya kudumu si yako mbinguni?
Yesu miaka 33 aloishi duniani uliona anajenga nyumba yake? Si alijua kuna siku atarudi kwa baba? Sasa wewe pressure ya nini?
Mkuu nimeona idea nyingi kwenye hilo ubarikiwe sanaIngia google andika modern mud house utapata design nyingi Sana KWA low cost hata wewe unaweza jenga KWA nguvu zako tu, mfano hii