Eli24
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 165
- 364
Mambo vp wanaJF
Baada ya kusaka kazi kwa Muda mrefu kwasasa nmepata kazi katka jiji la arusha na natakiwa kuanza January 2...hv sasa natafuta nyumba ya kupanga na kodi ianzie 150000 hadi 200000 Tshs ....eneo lolote zuri mim nko fresh kukaa... nataman nyumba hyoo iwe ni self na chumba kimoja na sebule na fensi maana nina kausafiri...km unamchongo km huo Njoo pm tubonge vzur
Ahsante
Baada ya kusaka kazi kwa Muda mrefu kwasasa nmepata kazi katka jiji la arusha na natakiwa kuanza January 2...hv sasa natafuta nyumba ya kupanga na kodi ianzie 150000 hadi 200000 Tshs ....eneo lolote zuri mim nko fresh kukaa... nataman nyumba hyoo iwe ni self na chumba kimoja na sebule na fensi maana nina kausafiri...km unamchongo km huo Njoo pm tubonge vzur
Ahsante