Nyumba ya Maajabu Masaki!

Nyie wote ni ndugu zake. Mmetokea kijiji kimoja kule Rombo [emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23] mimi natokea kwa mrombooo arusha mimi kijana wa arusha chaliii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
....Shigogozz ??...[emoji846]
 
........Mbwa walibweka bila matumaini. Aliyekuwa ndani alianza na TV alipokuwa anaibeba ili aitoe nje aliteleza nayo na kuangukia kichwa umauti ukamfika hapo hapo na damu zikichuruzika, yule aliyekuwa nje kwasababu alisikia kishindo ikabidi aende kuchungulia akamkuta mwenzie chalii na damu zimetapakaa. Hivo akaona huu ushakuwa mkosi na kilichobaki ni kusepa. Kwaio walipokuwa ndani walivunja mlango kwa ndani na geti pia dogo walivunja komeo. Walipakiana kwenye pikipiki na kuanza mwendo ila hawakufika mbali hata mbali kutokana na mwendo kasi na wenge walivaana uso kwa uso na land cruiser........

IKIWA KAMA WOTE WALIFARIKI JE IYO TAARIFA YA IYO SCENE YAO IMETOLEWA NA NANI AU SITTING ROOM ILIKUWA NA CCTV
 

Msimuliaji ndiye alikuwa mzimu unaishi kwa hyo nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…