Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu naomba nakala, tafadhali!
Hata ingekuwa ya ghorofa msakabali baina ya pande mbili ungekuwa muhimu zaidi kuliko upande mmoja kuamua. Ingefaa kujua aliyefanya tadhmini na toka upande upi .Ilikua nyumba ya msonge au pagala?
Wangesema wameonewa kuna udiktata mkubwa sana nchi hii na rejea ingekuwa picha ya nyumba iliyobomolewa.Ingekuwa ya mbunge wa chadema wangeenda hadi kushataki kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajaonewa kweli?
Kwa hiyo kujifukiza kunakinga ubomoaji?Duuuu kujifukiza kote kule bado wamebomoa???
Hajaonewa kweli?
au uonevu kwa ule upande hakuna application?
Duh aise Sasa kitendo kama hicho Wananchi kufurahia yeye atajisikiaje au alijua watu wanampendaWananchi wameshangilia sana!
Duh aise mbona umenangaaa hivyoKwani wakimboa hawata mpa hiyo fidia .umeileta kishabiki kama vile kakupigia demu wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebwana ehhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ukipigiwa demu wako unakuwa " shabiki" wa anayekugongea!!
Kimara mlilipa fidia? Mbona huyu kajenga barabarani na mmemlipa. Tuanzie hapo tuache unafikiWangesema wameonewa kuna udiktata mkubwa sana nchi hii na rejea ingekuwa picha ya nyumba iliyobomolewa.
Lakini kwakuwa ni ya msukuma watasema anastahili na watafanya sherehe na kumkejeli wacha aisome namba.
Kuwa mtanzania yahitaji uvumilivu kuwaelewa wanasiasa na vyama vyao.
Kimara mlilipa fidia? Mbona huyu kajenga barabarani na mmemlipa. Tuanzie hapo tuache unafiki
Huna habari kuwa nyumba ya mbunge Joseph Haule nayo ilibomolewa?Ingekuwa ya mbunge wa chadema wangeenda hadi kushataki kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app