Wananchi wameshangilia sana!
Duh...!.
People are too notty!, wana note hadi nukta.!.
P
Mkuki kwa binadamu mchungu.wakazi wa kimara dar mpo?Nyumbs ya mbunge wa Geita vijijini iliyoko Ilemela jijini Mwanza imebomolewa na serikali baada ya mbunge huyo kugoma kupokea fidia ya sh milioni 70.
Mbunge huyo mh Joseph aka Msukuma anadaiwa kuonyesha ubabe baada ya nyumba yake kufanyiwa tathmini na alipoona amebanwa kila kona alikimbilia mahakamani lakini kwa kuchelewa kwa sababu maendeleo hayatamsubiri yeye.
Nyumba hiyo na nyingine nne zimebomolewa kupisha ujenzi wa barabara
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kumara tena bwashee!!Mkuki kwa binadamu mchungu.wakazi wa kumara dar mpo?
😳Kumara tena bwashee!!
Majumba yamebomolewa na bara bara haijajengwa wala niniAmuulize Profesa J