Nyumba ya mbunge Msukuma yabomolewa baada ya kujifanya mbabe kwa kukataa fidia ya sh milioni 70

Wabunge wa CCM ndiyo vinara wa kuikwamisha Serikali yao!!

Huyu mzee wa Nyungu aka kujifukiza apewe hata ndururu !!
 
Kwani hata wewe ungekubali nyumba ya milioni 500 upewe fidia ya milioni 70.
 
Mkuki kwa binadamu mchungu.wakazi wa kimara dar mpo?
 
Viwanja vyenyewe walijikadilia kipindi hicho 75000 nyumba samani yake 1700000 hasala iko wapi We Jose kasheku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…