kinachonishangaza mie ni kwanza huyo mr.Mengi tajiri wa nchi yetu kuwa na nyumba ama kulala maeneo yale..sina maana ya kukashifu watu wa kino.ila jamani tuwe wa wazi tuu mtu kama yeye??na je kulala nyumba yenye wapangaji hapo hapo ..naona kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia...
kwakeli,hata mimi nashangaa Mengi anakaa Kinondoni??najua ana nyumba ,Masaki,Upanga na sio hapo,jamani lakini Mungu mkubwa amenusurika