Nyumba ya Mengi Yaungua...



kwakeli,hata mimi nashangaa Mengi anakaa Kinondoni??najua ana nyumba ,Masaki,Upanga na sio hapo,jamani lakini Mungu mkubwa amenusurika
 
Tutajua mengi hapo wee acha tu maana mahubiri yao tofauti na kucheza kwao. Hapo nina wasi wasi huenda alikuwa kwa something wake halafu vijana wakaamua kutia kibiriti ili aachane na huyo something wake, bila shaka kuna mtu mbili hapo wanadata kwa mamsapu mmoja.
 
kwakeli,hata mimi nashangaa Mengi anakaa Kinondoni??najua ana nyumba ,Masaki,Upanga na sio hapo,jamani lakini Mungu mkubwa amenusurika

Nadhani kinondoni inayozungumziwa ni ya huku nyuma ya Ubalozi wa Urusi mpaka pale makaburi, kuna wazito kadhaa wana majumba maeneo yale. Vile vile inawezekana amenunua nyumba nyingine.
 
Hapa yaani kuna mtu ndio kachanganya madawa kabisa.Yule ambaye alichanganya habari ya mengi na tukio la kuungua nyumba nyingine katika maeneo ya kinondoni.Mengi aliunguliwa nyumba kivyake.Na hiyo habari nyingine nyumba iliungua kivyake.Mengi anakaa njia ya kinondoni baada ya Surrender bridge ulakata kushoto opposite na office za Knight suppost,nyuma ya Ubalozi wa urusi.Kuna kijito cha maji ndio hekaru lake liko hapo.
Breaking newz zingine ni kwamba Naibu waziri Salome Mbatia amefariki dunia.
 
Hii nyumba ya polisi iko salama kabisa, ikompale karibu na uwanja wa taifa.
 

Attachments

  • NYUMBA YA POLISI.JPG
    398.8 KB · Views: 107
Nyumba ya Mengi Yaungua....now Nyumba ya Mengi imejaa maji ya mafuriko...nina wasiwasi na hela za huyu mzee!!!
 
Nyumba ya Mengi Yaungua....now Nyumba ya Mengi imejaa maji ya mafuriko...nina wasiwasi na hela za huyu mzee!!!
Andika ueleweke basi.Kwa nini una wasiwasi na hela za huyu mzee?
 

Wapi rafiki yangu KadaMpinzani bana? Rudi bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…