Nyumba ya Mengi Yaungua...

Nyumba ya Mengi Yaungua...

Kaka Nyani Taratibu Mkuu!,Maneno yako yananifanya nisisimke.Tungoje kwanza!!!, speculation sio nzuri!.Kauli yako hapa inaweza kuchukuliwa kuwa ni ukweli kwamba Manji kachoma nyumba ya Mengi!.Si unajua tena, Jambo imekuwa kama "Gazeti la Asubuhi" huko nyumbani.We unaandika mambo hayo upo PeachTree lakini yule wa Masaki anaona kauli yako ndio ukweli wa mambo!!

Sawa bosi nimekusikia...
Peachtree sio....hahaha....ndio anga zangu hizo
 
Huo moto ulianza saa tano kiasi kwamba hakuna aliyekuwa amelala, sasa tuone hao forensic wa Tanzania watatuambia nini chanzo cha huo moto ingawaje tayari watu wamesema ni air condition.
 
kuna forensics hapa JF washasema nini chanzo, lakini wametuweka alert ! tutasubiri kusikia.
 
Admin,
Tafadhali tunaomba uipeleke hii thread kwenye sehemu ya NYEPESI au JOKES/UDAKU.
Wembe.
 
Iende kwenye Habari, kwani siyo udaku (nyumba ya mtu mashuhuru imeingia that is a fact) na siyo utani (kwani kama Mengi angeungua isingekuwa porojo tena!!!).. Na.. si kweli kwamba hakukuwa na mtu amelala.... kubwa ni kuwa hakuwa amelala fofofo.. si mnafahamu "fire alarms"?
 
nimezungumza na mtu wa karibu na hawahisi ni hujuma ni ajali tu.. ila mitaani itakuwa ni maneno. Hiyo habari ya majira haiko sahihi sana.. siyo nyumba yote imeungua.. at least from what I hear ila vyumba viwili ndiyo vimeungua kikiwemo alichokuwa amelala Mengi...

Ahhh...

Afadhali umeambiwa kuwa ni ajali tu.... ingawa mambo ya bongo huwezi kabisa kujua kinachoendelea. Huchelewi kuambiwa jamaa wanataka kumkolimba mzee mengi....... Huyu Rostam Aziz na pesa zake hizi za wairan simwamini kabisaaaaaaaaaa
 
Hivi mnategemea Kibopa kama Mengi awe na nyumba bila Insurance?
 
Guys kwa nini tunakuwa maspeculators kiasi hiki, sidhani kati yetu tuna enough evidence kuend kusema nani kafanya nini. At this point we know kwamba nyumba ya mengi imeungua moto. Nini chanzo cha moto, nani kawasha moto, kisa nini, nadhani ni mapema sana kufahamu hizo data zote.
so, lets stay on facts at this point.
 
Huu muda mngeutumia ku fikiri na kufanya utafiti, Tanzania ingekuwa mbali sana kiuchumi, au angalau mngeutumia kufikiria mbinu mbadala wa kuimarisha vyama vya upinzani ili Tusiwatawale (CCM) milele ingekuwa safi sana.

Taratiibu naanza kuwajua mnavyofikiri kutokana na mambo mnayochangia. No wonder mnalalamika sana, mtalalamika milele.

Udaku page 1000000000 Mambo ya maana page 1.

Good Job
 
hapo brazameni hata sijui mkuu lakini hapa ni sawa sawa na kipindi kileee tukiwa tunacheza ule mpira wa BORA LIENDE, longi kichizi shuleni Tanga, yaani ukibutua tu wee usijali wapi unaelekea wee ufuate tu ndio hapa !

Yawezekana yuko sahihi kwani sasa hivi Mfanyabiashara ni mwanasiasa pia. Kumbuka CCM ni kijiwe cha wafanyabiashara
 
Mengi survives midnight house fire

2007-10-19 10:18:42
Guardian Reporters said:


Fire destroyed part of IPP Executive Chairman Reginald Mengi`s residence in Dar es Salaam on Wednesday night. Eyewitnesses said as flames began to spread, fire fighters quickly extinguished the blaze soon after getting information. Bernard Mabula, head of Ultimate Security fire brigade which worked in collaboration with Knight Support staff to quell the fire, said they were compelled to climb the stairs to the first floor of the building in order to put the situation under control.

All the furniture in Mengi`s bedroom and the adjoining washroom were destroyed, except for the bed and three large Bibles which lay on a nearby table. Quite surprisingly, both the bed on which Mengi had been lying when the fire occurred and the Bible were left intact. No person was injured during the incident.
Asked what message he had for Tanzanians in regard to fire outbreaks, Mengi said people usually blamed TANESCO whenever electric faults caused fatal fire outbreaks.

``However, they forget that some of the problems occur due to purchase and installation of counterfeit electric fittings, Mengi said.

He cautioned Tanzanians to shun all goods imported from China and India, until governments of those countries intervened and stopped the exportation of counterfeit products to Tanzania. He said there was a connection between drug trafficking and the importation of counterfeits, normally because it was the same people who were involved.

Mengi said keeping a blind eye on the rampant imports of fakes was bound to inflict heavy damage on the country�s economy, as local industries producing genuine products would eventually be forced to close shop. ``Worse still, a great deal of medicine sold in our pharmacies is fake. Many innocent people who purchase these drugs end up losing their lives. Indeed, time will come when fake medicine will kill more people than AIDS,`` Mengi said.

Mengi anasema vitu vya China na India ni bomu ina maana yeye anafahamu huo moto ulianzia wapi. WTZ tajiri mkubwa Tanzania kumbe na yeye alikuwa na vitu vibovu vya kutoka India na China, - You are warned watchout!
 
Jamani kwani Mr Menghi amefanya (yaani kamuudhi kiongozi gani)nini siku za karibuni???hadi watu wahisi ni hujuma?au ni hujuma za mfanya biashara kwa mfanya biashara?
 
Jamani kwani Mr Menghi amefanya (yaani kamuudhi kiongozi gani)nini siku za karibuni???hadi watu wahisi ni hujuma?au ni hujuma za mfanya biashara kwa mfanya biashara?

Shorty, are you a 10?
 
Jamani Mengi mbona hana nyumba kinondoni hananasif?????? au wamechanganya habari. Nikweli nimesikia leo kwenye Redio kwamba Nyumba ya mengi imeungua kutokana na hitilafu ya umeme na hana mpango wa kuidai TANESCO ila BIMA yake itamlipa ktk muda mfupi tu. Ila kwa ninavyofahamu mimi Mengi hana nyumba Kinondoni Hananasifu.
 
hii si siasa.......ni habari nyepesi kwa mtazamo wangu.

maana kwa hapa siasa imeingia wapi?
 
kinachonishangaza mie ni kwanza huyo mr.Mengi tajiri wa nchi yetu kuwa na nyumba ama kulala maeneo yale..sina maana ya kukashifu watu wa kino.ila jamani tuwe wa wazi tuu mtu kama yeye??na je kulala nyumba yenye wapangaji hapo hapo ..naona kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia...
 
Back
Top Bottom