Nyumba ya room 3, million 21.9

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
- Habari wajenzi

Mwaka huu nimefeli kuanza ujenz(na kutizma lengo) lakn panapomajaliw mwakan Natumain jambo langu hii nitalifaniksha

Ujenz ni :- Nyumba ya vyuma 3 + /master bedroom na single room 2 + public toilet ndani, na sehemu ya kula

Location :- WILAYAN KIBAHA (AROUND MITAA YA HALMASHAUR YA WILAYA YA KIBAHA

BAJET :- 21.9
Uwanja tayar nishaulipia.

NAOMBA SIMPLE BREAK DOWN YA HIKO KIASI NAWEZ FANYA UJENZ NA KUKAMILISHA KWA ASILIMIA NGAPI.

Naomba tusi complicated sana ni nyumba ya upauaji wa kawaida. Nko mezan nasubr data zenu
 
Tulipe kwanza tukupe data siku hizi cha bure ni kujamba na shikamoo tu na sio vinginevyo.
Biliv me.
Kuw mzalendo kwa cc wanacham wenzio

[emoji3047][emoji32][emoji1783]
 
Hii unahamia kabisa, full tiles, na aluminium windows
 
Kwa maana hiyo tukuchoree na ramani ndipo tukufanyie na BOQ?

NCHI NGUMU SANA HII
 
21M hapo ni skeleton la nyumba ikowemo ushapaua apo tayar.

Ukianza kubadili lugha uwe n 21M nyingine ili uhamie
🟤🟤 acha tusubr mafao ya kustaafu ndio tujenge
 

Mkuu, kama hautojali maeneo hayo ulinunua kiwanja bei gani. Natamani sana kupata kiwanja kibaha maili moja hapo
 
usipende sana kuongea kabla ya kufanya jambo hasaa la maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…