DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Hili sakata la uuzaji nyumba kiholela halimhusu baba jesika?Waziri wa ardhi mh Lukuvi amemtaka mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kuwashughulikia watendaji wa NHC na NIC waliouza kifisadi nyumba mbili za Serikali kinyume cha utaratibu.
Naye DCI amemuhakikishia Waziri Lukuvi kuwa atalishughulikia swala hilo kwa haraka na kuhakikisha nyumba hizo mbilu zinarudi serikalini.
Source ITV habari!