Nyumba yangu inateketea, nifanyaje kuiokoa?

KatetiMQ

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2022
Posts
249
Reaction score
506
Nyumba yangu inateketea kwa moto wana JF.

Hali ni mbaya, kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba, ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani.

Naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa, nimeshindwa kuelewa nifanyaje!

 
Nyumba yangu inateketea kwa moto wana JF hali ni mbaya kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa nimeshindwa kuelewa nifanyaje
Wewe jirushe tu humo ndani itasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…