Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize kwanza anajua cement mfuko bei gani?Utajenga nyingine katoe stress kwa safari lager tano tu utanishukuru baadae
Rushia na hiyo simu unayopigia selfie kwenye moto, tuone kama nayo itaunguaNyumba yangu inateketea kwa moto wana JF hali ni mbaya kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa nimeshindwa kuelewa nifanyaje
[emoji38][emoji38][emoji38]Muulize kwanza anajua cement mfuko bei gani?
Nyumba iteketee kwa moto upate muda wa kupiga picha?labda kama nyumba ya kupanga na ndani una mkeka na charge ya Tecno tu.
Nimecheka sana...dah..yaani wewe🤣🙌
🥰 🥰 🥰 anaitwa DarkChild, hatari sana kwa vinandaNimecheka sana...dah..yaani wewe🤣🙌
Watu wanaitwa hapa😆we jamaa ni chadema sio
Naona thamani ya simu yako ni kubwa kuliko pesa ulizoziacha ndani ziteketee, ushauri wangu kwako iuze hiyo simu kwa mnada hapohapo eneo la tukio utapata pesa ya kujenga na kuoa mke mwingine.Nyumba yangu inateketea kwa moto wana JF.
Hali ni mbaya, kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba, ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani.
Naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa, nimeshindwa kuelewa nifanyaje!
Endelea kujipiga selfie hadi iteketee yoteNyumba yangu inateketea kwa moto wana JF.
Hali ni mbaya, kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba, ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani.
Naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa, nimeshindwa kuelewa nifanyaje!
Mwagia majiNyumba yangu inateketea kwa moto wana JF.
Hali ni mbaya, kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba, ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani.
Naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa, nimeshindwa kuelewa nifanyaje!
Kuna form six bado hawajaripoti kambini ?Nilitaka nishangae siku ipite bila thread ya kipumbavu