figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?