Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kenan Makinda ni kaka wa Anne Makinda na pia ni Captain mstaafu wa jeshi lakini pia ni Rubani mstaafu amestaafu wakat akirusha fly Emirates.

Kenan Makinda ni baba mzazi wa Tony Makinda.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Huyu ana mashamba huko Morogoro huwa watu tunakodi na kulima auze ili akakomboe hizo nyumba
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Achq tu zipigwe mnada, wana ccm wenzie watanunu
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Serikali itasaidia wangapi nyumba zao zisipigwe mnada?mwache apambane na Hali yake kama wengine wanavyopambana...
 
Nadhani huu mnada itakuwa ndiyo umeanza kutimia utabiri wa Mstaafu Spika aliosema nchi hii soon itapigwa mnada. Hivi hizi si dalili kweli? Au ni macho yangu ^jar-man-knee^? Koz, huyu Makinda ni miongoni mwa papa wakubwa kwenye ile bahari pendwa ya siasa, utawala na serikali ya nchi hii.

Kama yeye anapigwa mnada, anayefuatia ni nani kama si liinchi letu lote?
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kabisa unaomba serikali imsaidie? Halafu tunadhani tutafika wakati tuna wananchi kama nyie.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Tony Kenan Makinda ndiye Anna Semamba Makinda!? Hili swali ni kwa mleta uzi, tueleze!
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Nini shida
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Naona mama alisahau kulipa anachodaiwa. Alikuwa "busy" na parliamentary matters.
 
Back
Top Bottom