Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Niaje MkaldawiseeInashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niaje MkaldawiseeInashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Hao watu hawafai kuwasaidia hata kwenye maombi tu maana ndiyo maadui wa maendeleo yetu sisi tusiyo na maamuziIanzishwe tozo kumlipia jamani
Kenan Makinda ni kaka wa Anne Makinda na pia ni Captain mstaafu wa jeshi lakini pia ni Rubani mstaafu amestaafu wakat akirusha fly Emirates.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Huyu ana mashamba huko Morogoro huwa watu tunakodi na kulima auze ili akakomboe hizo nyumbaSalaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Achq tu zipigwe mnada, wana ccm wenzie watanunuSalaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Serikali itasaidia wangapi nyumba zao zisipigwe mnada?mwache apambane na Hali yake kama wengine wanavyopambana...Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Duh inashangaza speaker mstaafu kuishi kwa madeni na hana watotoPesa zake zinaishia kwa waganga,mikopo kila sehemu,bado nyumba ya kijitonyama polisi mabatni kila siku watu wa bank wanakuja
Ni kweli kabisa kwa Ile retirement package tuliyoambiwa majuzi, labda kama alikuwa na mikopo ya mabilioni...Inashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Una hakika ana mtoto mmoja tu???Halafu ana mtoto mmoja tu tena Binti. Majumba mengi ya Nini?
Kabisa unaomba serikali imsaidie? Halafu tunadhani tutafika wakati tuna wananchi kama nyie.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Tony Kenan Makinda ndiye Anna Semamba Makinda!? Hili swali ni kwa mleta uzi, tueleze!Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Nini shidaSalaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Wana uhusiano?Atalipiwa na Rostam Aziz!
Naona mama alisahau kulipa anachodaiwa. Alikuwa "busy" na parliamentary matters.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Mbinu tu za kutumbua pesa za mikopo, kibibi kinahela sana, nyumba ziliingizwa kwenye madeni kimkakati.Binafsi siwezi kutoa machozi yangu kwa muanzilishi wa vita ya chuki kwa watamzania kisa siasa na itikadi.
Mwache aonyeshwe kuwa unapokuwa mtumishi wa umma usiwe na upendeleo wa kiitikadi.