Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Hizo ni collateral kwenye pesa ya biashara alizokopa bank.. Na akashindwa kurejesha kwa wakati
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kichwa chako kikiota nywele nyingi hukulazimu kuzipunguza, hana mume wala mtoto.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kwani wakati anakopa dhamana yake aliweka SERIKALI? Mwache apambane na hali yake kwa kuwa wakati anakopa hakumshirikisha mtu yeyote. Hata hivyo, Anne Makinda anamiliki mijengo ya hatari kule maeneo ya Upanga, Masaki, Mbezi, Msasani, na maeneo mengine nyeti. Ngoja ziuzwe zipungue.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
watajuana wenyewe huko acha zipigwe mnada. Acha walane wao kwa wao.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Yani ujinga wa watanzania ni wa ajabu sana, yani mtu akope ashindwe kulipa eti serikali imlipie. Kumbuka huyo mama bado ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa nhif bado anakula ela ukiachilia mbali anaendelea kula mshahara wa speaker 80% maisha yake yote.
Kuna watanzania wana matatizo hata pa kulala hawana
 
Back
Top Bottom