Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huo ndiyo ukweli kabisaMbinu tu za katumbua pesa za mikopo, kibibi kinahela sana, nyumba ziliingizwa kwenye madeni kimkakati.
Michongo kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndiyo ukweli kabisaMbinu tu za katumbua pesa za mikopo, kibibi kinahela sana, nyumba ziliingizwa kwenye madeni kimkakati.
Michongo kazini
Kichama tu.Wana uhusiano?
Haa ha ha, sasa kwanini umemtaka RA ndio alipe na sio matajiri wengine wa ccm hata Chenge kwa mfano?Kichama tu.
Hata Komba na Dr Slaa mikopo yao walilipiwa!
Ingekuwa simple hivyo Benki zote zingefilisika na zisingekubali dhamana ya nyumba..Hizo ni mbinu za kupiga hela bank. Thamani ya nyumba huwa ndogo sana ukilinganisha na pesa alio chukua.
Mkuu ile dawa ya kuacha kukojoa kitandani ilikusaidia? PM hujibu.Inashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Anayedaiwa ni TONY KENAN MAKINDA jamani siyo ANNA SEMAMBA MAKINDA! Mleta uzi atueleze kama hao, yaani Tony Kenan Makinda na Anna Semamba Makinda "ni MTU MMOJA"!Haa ha ha, sasa kwanini umemtaka RA ndio alipe na sio matajiri wengine wa ccm hata Chenge kwa mfano?
Hizo ni collateral kwenye pesa ya biashara alizokopa bank.. Na akashindwa kurejesha kwa wakatiSalaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Dogo mgerasi ulipoteaga wapi aseeh. Kitambo kidogo huonekani jamvini SemenyaMkuu ile dawa ya kuacha kukojoa kitandani ilikusaidia? PM hujibu.
Kichwa chako kikiota nywele nyingi hukulazimu kuzipunguza, hana mume wala mtoto.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kwani wakati anakopa dhamana yake aliweka SERIKALI? Mwache apambane na hali yake kwa kuwa wakati anakopa hakumshirikisha mtu yeyote. Hata hivyo, Anne Makinda anamiliki mijengo ya hatari kule maeneo ya Upanga, Masaki, Mbezi, Msasani, na maeneo mengine nyeti. Ngoja ziuzwe zipungue.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
watajuana wenyewe huko acha zipigwe mnada. Acha walane wao kwa wao.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Ila kipindi kile mkisikia nyumba zinauzwa mlikuwa mnasema ni wivu kwa matajiri?Unadhani anashindwa kulipa madeni? Ni kwamba hazitaki tu hizo nyumba. Anazo nyingi sana na muda wa kulisogelea kaburi unazidi kutaradadi....
Hawezi kuzikwa nazo
Aliongea ukweli kabisaHuyu Mama akiwa spika...alipigania marupurupu yao hadi yakapanda mara mia....
Aliwahi sema wabunge ni very frustrated group! Sijawahi sahau hii kauli.
Yani ujinga wa watanzania ni wa ajabu sana, yani mtu akope ashindwe kulipa eti serikali imlipie. Kumbuka huyo mama bado ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa nhif bado anakula ela ukiachilia mbali anaendelea kula mshahara wa speaker 80% maisha yake yote.Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kipindi cha mazwazwa au kipi?Ila kipindi kile mkisikia nyumba zinauzwa mlikuwa mnasema ni wivu kwa matajiri?