lovel
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 413
- 1,102
Column yapili..Jina la mdaiwaSijaona jina la Anne Makinda. Anyway, mtu kakopa bilion 1 halafu nyumba inathamani ya milion 100, nani mjanja?
....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Column yapili..Jina la mdaiwaSijaona jina la Anne Makinda. Anyway, mtu kakopa bilion 1 halafu nyumba inathamani ya milion 100, nani mjanja?
Jina la mdaiwa Anne...column ya piliAnayedaiwa ni TONY KENAN MAKINDA jamani siyo ANNA SEMAMBA MAKINDA! Mleta uzi atueleze kama hao, yaani Tony Kenan Makinda na Anna Semamba Makinda "ni MTU MMOJA"!
😂😂😂😂Nadhani huu mnada itakuwa ndiyo utabiri wa Mstaafu Spika aliosema nchi hii soon itapigwa mnada. Hivi hizi si dalili kweli? Au ni macho yangu ^jar-man-knee^? Koz, huyu Makinda ni miongoni mwa papa wakubwa kwenye siasa, utawala na serikali.
Kwanini zipigwe mnada?Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Ni mwananchi mnyonge naye?!Nae ni mtanzania kama wengine na mnada sio jinai
Ukisoma tangazo kwenye gazeti mdaiwa ni Anne Makinda isipokuwa nyumba ina jina la Tony Makinda kama mmiliki, so napata picha kwamba mkopaji (ambae mdaiwa) alitumia hati ya nyumba hiyo (Ya Tony). Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mimi.Tony Kenan Makinda ndiye Anna Semamba Makinda!? Hili swali ni kwa mleta uzi, tueleze!
Ule mghorofa wa mabatini uliisha mkuu?Pesa zake zinaishia kwa waganga,mikopo kila sehemu,bado nyumba ya kijitonyama polisi mabatni kila siku watu wa bank wanakuja
[emoji16]nalo nenoUnadhani anashindwa kulipa madeni? Ni kwamba hazitaki tu hizo nyumba. Anazo nyingi sana na muda wa kulisogelea kaburi unazidi kutaradadi....
Hawezi kuzikwa nazo
So alikula deal na afisa mkopo kuku bali nyuma yenye thamani ndogo kuliko mkopo aliouchukua? Kama ni hivyo si mwadilifu mama yetu Makinda.Hizo ni mbinu za kupiga hela bank. Thamani ya nyumba huwa ndogo sana ukilinganisha na pesa alio chukua.
Mabatini, kama ulimaanisha pale polisi Kijitonyama. Uliisha miaka mingi iliyo pitaUle mghorofa wa mabatini uliisha mkuu?
Ur fucking kidding bigger!!imsaidie!!!!Salaam Wakuu,
Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.
Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.
Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?
Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Uliisha mkuu aliupimp balaaUle mghorofa wa mabatini uliisha mkuu?
Nyumba za wakubwa huwa na majina ya ndugu,wahuni sana hawaUkisoma tangazo kwenye gazeti mdaiwa ni Anne Makinda isipokuwa nyumba ina jina la Tony Makinda kama mmiliki, so napata picha kwamba mkopaji (ambae mdaiwa) alitumia hati ya nyumba hiyo (Ya Tony). Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mimi.
taratibu mkuu usianike aibu zote hapa.Pesa zake zinaishia kwa waganga,mikopo kila sehemu,bado nyumba ya kijitonyama polisi mabatni kila siku watu wa bank wanakuja
Niliishi pale miaka ya 2016 hivi.Mabatini, kama ulimaanisha pale polisi Kijitonyama. Uliisha miaka mingi iliyo pita
Bibi mshirikina huyotaratibu mkuu usianike aibu zote hapa.
kudaiwa ni kawaida, hata wewe unaweza kudaiwa.
Ya nani? na ya nini?Investment
Tulizonazo hakubahatika kupata mtoto wa kwake mwenyewe. Huyo ni wa dadake mdogo au mkubwa kitu kama hicho.Una hakika ana mtoto mmoja tu???