Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Nadhani huu mnada itakuwa ndiyo utabiri wa Mstaafu Spika aliosema nchi hii soon itapigwa mnada. Hivi hizi si dalili kweli? Au ni macho yangu ^jar-man-knee^? Koz, huyu Makinda ni miongoni mwa papa wakubwa kwenye siasa, utawala na serikali.
😂😂😂😂
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Kwanini zipigwe mnada?
 
Tony Kenan Makinda ndiye Anna Semamba Makinda!? Hili swali ni kwa mleta uzi, tueleze!
Ukisoma tangazo kwenye gazeti mdaiwa ni Anne Makinda isipokuwa nyumba ina jina la Tony Makinda kama mmiliki, so napata picha kwamba mkopaji (ambae mdaiwa) alitumia hati ya nyumba hiyo (Ya Tony). Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mimi.
 
Hizo ni mbinu za kupiga hela bank. Thamani ya nyumba huwa ndogo sana ukilinganisha na pesa alio chukua.
So alikula deal na afisa mkopo kuku bali nyuma yenye thamani ndogo kuliko mkopo aliouchukua? Kama ni hivyo si mwadilifu mama yetu Makinda.
 
Salaam Wakuu,

Kamishna wa Sensa Kitaifa Bi. Anne Makinda ambaye alitumikia Taifa katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa takribani miaka arobaini, akianza kama Waziri wa Shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Naibu Spika na hatimaye Spika wa Bunge, Nyumba zake zinapigwa Mnada.

Nyumba inayopigwa mnada ni iliyopo Mikocheni na ile ya Arusha.

Je, kwanini Serikali isimsaidie nyumba zake zisipigwe mnada?

Je, nini Kimemsibu Mama yetu huyu?
View attachment 2076927
Ur fucking kidding bigger!!imsaidie!!!!
Imeshindwa kusaidia vijana wapate ajira za maana,unataka imsaidie mtumishi wa umma,aliyevuta kiinua mgongo zaidi ya milioni 200!!as far as Am concerned she can go and lot in hell,no fucking sympathy for her,and for any senior former civil servant for that matter
 
Ukisoma tangazo kwenye gazeti mdaiwa ni Anne Makinda isipokuwa nyumba ina jina la Tony Makinda kama mmiliki, so napata picha kwamba mkopaji (ambae mdaiwa) alitumia hati ya nyumba hiyo (Ya Tony). Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mimi.
Nyumba za wakubwa huwa na majina ya ndugu,wahuni sana hawa
 
Back
Top Bottom