figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
InvestmentHalafu ana mtoto mmoja tu tena Binti. Majumba mengi ya Nini?
Wacha apambane na hali yake maana wakati anakandamiza upinzani alikuwa anajiona kama Mungu mtu.
Ya TuliaUlitaka ipigwe mnada ya nani?
Ianzishwe tozo kumlipia jamaniBinafsi siwezi kutoa machozi yangu kwa muanzilishi wa vita ya chuki kwa watamzania kisa siasa na itikadi.
Mwache aonyeshwe kuwa unapokuwa mtumishi wa umma usiwe na upendeleo wa kiitikadi.
Tena iwekwe kwenye mafuta😂😂Ianzishwe tozo kumlipia jamani