Nyumba za Anne Semamba Makinda zinapigwa mnada!

Huyu Mama mkwe wangu msimguse kabisaa!!! tuna nyumba za kututosha huku Banana High land ndo tunako ishi !!! sasa mijumba ya Bongo hapo kwenye mavumbi hapo ya nini??? na

vinywa vyenu vichafu hivo? na huku aingiii mtu hovyohovyo km hujui kireno imekula kwako! Bull shit hatusemeki sisi mtuache tu! yaani nimeoa pazuri siyo siri!! mtachonga sana kenge nyie!.....
 
Halafu masikini bana!! Heee! mnaongelea vijumba km mabanda yale basi mnatetemeeeeka!!! hivi nyumba unazijua wewe mleta mada!! au?? .....au Mansion unazijua!

Yaani hayo mabanda ya kufugia kuku Masaki ndo unasema nyumba?? mpaka unavuta usikivu wa watu wenye akili km sisi??? Nyumba ziko Downing' st!...temebea uone kwanza hlafu ndo ulete utopolo wako hapa........
 
Hayo mamilioni ya pensheni tunayoambiwa wanalipwa aliyaweka wapi? Mana walishajipendelea kujipa malipo manono sasa iweje serikali imsaidie. Apambane na hali yake.
 
Huyu mama sijui anapigagaje hesabu zake. Anapenda mamikopo sana, hawa ni Azania wamemning'inia na NBC wanamdai kila siku wanataka kupiga mnada nyumba yake anawapooza.
Stress zote hizo za nini.Majumba mengi kazi kuwalipa walinzi tu,hata kulala halali nikuzunguka tu kwa sensa
 
Anayedaiwa ni TONY KENAN MAKINDA jamani siyo ANNA SEMAMBA MAKINDA! Mleta uzi atueleze kama hao, yaani Tony Kenan Makinda na Anna Semamba Makinda "ni MTU MMOJA"!
Wewe hapo ndo hauelewi mdaiwa ni Anna Makinda lakini hivyo viwanja mmiliki ni Tony Kenan Makinda possibility ni huyo maza alikopea hati ya mtu mwingine ( ndugu yake ) na hajalipa deni...kila kitu kiameandikwa hapo
 
Acha iuzwe tu, kwani unafikiri amekosa hela ya kulipia, madeni ya bank ukikataa kulipa, collateral inapigwa mnada, sasa ulitaka nani amlipie? Mlipie ww basi, serikali ifanye nn? Kila mtu afe na mzigo wake, ndio hivyo
 
Umeleta tangazo halafu umeleta ujinga eti kwa nini asisamehewe, je kwanini asamehewe? utupe sababu, ili pia wengine ambao nao nyumba zao zinapigwa mnada pia nao wasamehewe kama Makinda.
 
Inashangaza mama makinda mali zake kupigwa mnada kwa sababu ni tajiri mkubwa.
Matajiri ni wajanja, wanaweka collateral nyumba zisizolingana na mkopo, ukiuza hana hasara
 
Kwani Kenan Makinda ndio Anna Makinda ?
 
Hawa ndio wanakula keki ya taifa sasa.
Wengine tunasindikiza tu
 
Ni kweli kabisa kwa Ile retirement package tuliyoambiwa majuzi, labda kama alikuwa na mikopo ya mabilioni...
Tubaweza tukadhani ni Tajiri mkubwa kumbe Hanna kitu! Ni mapokeo tu.,.
 
Huyu Mama akiwa spika...alipigania marupurupu yao hadi yakapanda mara mia....

Aliwahi sema wabunge ni very frustrated group! Sijawahi sahau hii kauli.
Frustrated group. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…