Nyumba za ibada zimegeuza muelekeo

Nyumba za ibada zimegeuza muelekeo

KAKA NASOKI

Senior Member
Joined
May 25, 2016
Posts
191
Reaction score
212
Sikuhizi makanisa yamegeuza muelekeo, hakuna tena maendeleo ya kiroho bali maendeleo ya Parkia, Usharika au kanisa na mahekalu. Mahubiri yamejikita katika michango ya mara ujenzi, ununuzi wa vifaa, kumchangia kiongozi, michango ya lazima kila siku. Nauliza zile sadaka za ujenzi, fungu la kumi ambazo ni nje ya sadaka za kawaida, zinaenda wapi?

Hatufundishwi namna ya kusali na kwenda mbinguni, bali kutoa ubarikiwe. Sasa ukibarikiwa ndio umesamehewa dhambi au ni uhakika wa kwenda mbinguni? Unaambiwa fulani katoa sasa hivi amepata baraka ya kuwa na nyumba/gari nk.

Nasikia KKKT wanashindanisha sharika na jumuia kwa sadaka, hata zile Sharika zenye sadaka nyingi hapelekwi Mchungaji amabaye sio chaguo la Askofu.

MUNGU TUSAIDIE.
 
Sikuhizi makanisa yamegeuza muelekeo, hakuna tena maendeleo ya kiroho bali maendeleo ya Parkia, Usharika au kanisa na mahekalu. Mahubiri yamejikita katika michango ya mara ujenzi, ununuzi wa vifaa, kumchangia kiongozi, michango ya lazima kila siku. Nauliza zile sadaka za ujenzi, fungu la kumi ambazo ni nje ya sadaka za kawaida, zinaenda wapi?

Hatufundishwi namna ya kusali na kwenda mbinguni, bali kutoa ubarikiwe. Sasa ukibarikiwa ndio umesamehewa dhambi au ni uhakika wa kwenda mbinguni? Unaambiwa fulani katoa sasa hivi amepata baraka ya kuwa na nyumba/gari nk.

Nasikia KKKT wanashindanisha sharika na jumuia kwa sadaka, hata zile Sharika zenye sadaka nyingi hapelekwi Mchungaji amabaye sio chaguo la Askofu.

MUNGU TUSAIDIE.
hicho kipindi kitaisha tu uwezi kuwadangaya watu wakati wote hata hilo wachungaji wanalifahamu ndio maana wanachukua chao mapema na kuekeza kwenye mashule majumba yakupangisha nk hili likisanuka waishi kama afalume na watoto wao
 
Sikuhizi makanisa yamegeuza muelekeo, hakuna tena maendeleo ya kiroho bali maendeleo ya Parkia, Usharika au kanisa na mahekalu. Mahubiri yamejikita katika michango ya mara ujenzi, ununuzi wa vifaa, kumchangia kiongozi, michango ya lazima kila siku. Nauliza zile sadaka za ujenzi, fungu la kumi ambazo ni nje ya sadaka za kawaida, zinaenda wapi?

Hatufundishwi namna ya kusali na kwenda mbinguni, bali kutoa ubarikiwe. Sasa ukibarikiwa ndio umesamehewa dhambi au ni uhakika wa kwenda mbinguni? Unaambiwa fulani katoa sasa hivi amepata baraka ya kuwa na nyumba/gari nk.

Nasikia KKKT wanashindanisha sharika na jumuia kwa sadaka, hata zile Sharika zenye sadaka nyingi hapelekwi Mchungaji amabaye sio chaguo la Askofu.

MUNGU TUSAIDIE.
....ndugu mtoa mada, binafsi nakubaliana kuwa neema ya kupokea inachangiwa na utoaji , changamoto kubwa labda ni Hilo swala la ibada kutawaliwa zaidi na msisitizo ktk matoleo na njia zinazotumika kukusanya matoleo, kwa maoni ya wengi inaonekana ni kama kulazimisha kidogo na pia kutotambua wenye uwezo ndogo kiuchumi, hii imesababisha baadhi ya waamini kukosa amani na kutojiamini, na wachache wanaacha kwenda ibadani Kwa kukosa sadaka, kuna baadhi ya makanisa viongozi wanakusanya sadaka kimatabaka mf wenye elfu 20 waweke hapa, wenye elf 10 wake huku, chini ya elfu 5 kapu lile, lakini pia kuna ile kusitisha huduma za kiroho Kwa wasiotoa michango eg ubatizo, ndoa maombi maalumu etc, haya yangetazamwa upya kwa sababu ni kweli uendeshaji wa nyumba za ibada una gharama zake malipo ya bili mbalimbali, ukarabati, vifaa vya nyimbo, safari za watumishi,kuona wagonjwa nk mambo ambayo hatuna budi kugharamia.......
 
hicho kipindi kitaisha tu uwezi kuwadangaya watu wakati wote hata hilo wachungaji wanalifahamu ndio maana wanachukua chao mapema na kuekeza kwenye mashule majumba yakupangisha nk hili likisanuka waishi kama afalume na watoto wao
Tunajua ngawira ya Muhammad matumizi yake , hii aliomgawia Allah ilikuwa inatumikaje ? na kwa nini Muhammad asigawie na wengine anagawana na Allah tu? Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Na hapo kuna makanisa watoto wa mchungaji wanasomeshwa na kanisa. Huwa nashangaa sana.
 
SICHUKII MUNGU, NACHUKIA KANISA.
Ndio maana hamnioni kanisani
 
Tunajua ngawira ya Muhammad matumizi yake , hii aliomgawia Allah ilikuwa inatumikaje ? na kwa nini Muhammad asigawie na wengine anagawana na Allah tu? Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Umekurupuka ndugu
 
Tatizo la ajira limefanya vijana wengi wakimbilie uchungaji , na burden hyo anaangushiwa muumin ... Ibada nzima inajaa michango....!!!
 
Simply niambie pedophile Muhammad Alikuwa anagawana na nani ngawira
quran 8:69
Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Alaf jifunze adabu kwani papa kashakutafutia....
 
Tunajua ngawira ya Muhammad matumizi yake , hii aliomgawia Allah ilikuwa inatumikaje ? na kwa nini Muhammad asigawie na wengine anagawana na Allah tu? Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Quran 8:69
Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.
 
Quran 8:69
Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....


Binadamu pekee mwenye uwezo WA kugawana Mali nusu kwa nusu na mungu wake
 
🐒🐒🐒
 
Acha wivu nenda kachukue kadi ya PARTNERSHIP ya Shilingi Milioni 6 ya Nguzo ya Ghorofa Tatu kwa KUHANI MUSA ili nawe Mungu akujengee.. 😂😂😂
 
Sikuhizi makanisa yamegeuza muelekeo, hakuna tena maendeleo ya kiroho bali maendeleo ya Parkia, Usharika au kanisa na mahekalu. Mahubiri yamejikita katika michango ya mara ujenzi, ununuzi wa vifaa, kumchangia kiongozi, michango ya lazima kila siku. Nauliza zile sadaka za ujenzi, fungu la kumi ambazo ni nje ya sadaka za kawaida, zinaenda wapi?
Ukitaka kukosana na wasimama madhabahuni waambie wafanye kazi ya Mungu kwa kujitolea kama alivyofanya Yesu na hivi sasa wanavyofanya waimba kwaya na watunzi wa nyimbo zao

Mchungaji wa Usharika wangu X alishastaafu miaka miwili iliyopita lakini mpaka leo anna nguvu kwenye maamuzi ya usharika kuliko aliyechukua nafasi yake
 
Mkuu na mimi leo katika ibada niliyoshiriki nimesikitika sana. Injili nyingi za sasa ni potofu na ziko kimaslahi zaidi. Leo ibada nzima ni ya wanawake kutokupewa vipaumbele kwenye uchumi, siasa, afya n.k eti hayo ndio mahubiri kabisaa. Wanaongeza mwanamme ndio chanzo cha yote hayo.
Kanisani hatufundishwi kukemea dhambi, rushwa, na kila aina ya uovu bali ni blah blah tu.
Hali hii inatisha na ni kupoteza mda tu.
Watu wafundishwe kumjua Mungu wa kweli kwanza na hayo mengine yatakuja
 
Kuna jamaa alijaribu kufanya biashara nyingi za aina tofauti lakini hakutoboa, akaanzisha kanisa kama utani na sasa ametoboa. Anajifunza mbinu mpya za kucheza na akili za watu. Nawashauri acheni hizi dini zilizokuja kwa meli, zingatieni jadi yenu kama Waafrika, tuone watakula wapi.
 
Back
Top Bottom