Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeamka kwenda kukojoa ndio ukaandika huu uzi.Habari
Nimefanya utafiti wa nyumba za kuishi zinazojengwa na vijana wasomi kuanzia degree moja na kuendelea kwa kweli zinafikirisha!
Msomi mzima na kazi yake anakutambia amejenga lakini ukimtembelea kwenda kuona nyumba aliyojenga unabaki kujiuliza hii ni nyumba ya mtu aliyetumia miaka zaidi ya kumi darasani kweli? Ramani haieleweki na jumla ya vyumba alivyojenga ni sebule,chumba chake na chumba cha watoto baasi!
Ni uchoyo ili wasije wageni au ni ukosefu wa hela?
Mbona sisi wasomi wa zamani tulikuwa tunajenga mabangaloo ya kufa mtu?
Wasomi wa siku hizi jirekebisheni nyumba zenu ni sawa tu na ya mkulima wa pamba ambaye anauza na kupata hela mara moja kwa mwaka.View attachment 1850404
mdogo sanaUelewa wako wa maisha na mazingira kwa jumla ni mdogo.
Warren hana nyumba?Kuna usemi unasema Kichaa huwa anaona wenye akili timamu ndo vichaa. hapa mtoa mada hujui maana ya kutumia pesa ulizonazo vizuri. pia usisahau mafanikio sio nyumba, wapo matajiri wakubwa duniani wanakaa kweny nyumba za kupanga au mkopo ili waweze kutumia pesa zao vizuri kuanzisha na kukuza biashara zinazozalisha, na sio kwenda kuzika pesa kweny liability isiyokupa hata sent 5 kwa mwaka. Jifunze kidogo wa Bilionaire Warren utajua kwa nini hao uliowaita wasomi wamekupita mbali kifikra.
Warren ana nyumba ya kawaida tu na siyo ya kupanga.Warren hana nyumba?
Anakaa kwenye nyumba ya nani?
Hiyo nyumba aliyopanga si analipishwa kodi?
Nakubaliana na wewe.Sasa unataka watu wajenge nyumba kubwa nani analala huko? Jenga nyumba ya saizi yako mzee.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app