Nyumba za kulala wageni Dar imekuwa kero sana, wahusika fuatilieni hili ni hatari

Nyumba za kulala wageni Dar imekuwa kero sana, wahusika fuatilieni hili ni hatari

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta.

Sasa ukisema unalala unaambiwa hatupangishi vyumba vya kulala mpaka Saa nne usiku. Kwa maana hiyo Sasa hivi gesti zimebadilisha matumizi badala ya nyumba za kulala.

Sasa ni nyumba za fasta unatakiwa ulipie Kwa masaa, mteja ukionekana na mabegi inamaana unataka kulala chumba hupewi, nenda Gongo la Mboto, Banana au Mbezi huo mchezo umekithiri, unaweza kuzunguka na mabegi kutwa nzima, mamlaka inayohusika fuatilieni uchafu huu unaendelea
 
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta...
Hivi wewe ??!!! Banana unaenda kulala ukitokea wapi, seminar ipi, au Kuna stend Gani banana kwamba unasafiri. Au ndio kwamba banana unafasiri kwenda nchi Gani ukalale banana Ili uwahi ndege??
 
Ulikosea njia mzee, huko ulipoingia ni vyumba vya mal@ya.

Tafuta hoteli nyota 4 au 5 wewe achana na vibanda vya uchochoroni huko.

Tafuta hotel wacha kwenda gesti na bar

umetafuta buguruni,manzese,sinza,kinondoni na tabata hayo maeneo !.
maana huko sio nyumba za wageni ni nyumba za wanyeji
... kaingia mitaa ya "wahaya" halafu anataka alale; tabu sana! Kule nasikia unatakiwa umalize shida zako chap umpishe anayefuata bila kupoteza muda. Kama kuna "biashara" nchi hii ziko very sensitive na muda ni huko.
 
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta. Sasa ukisema unalala unaambiwa hatupangishi vyumba vya kulala mpaka Saa nne usiku. Kwa maana hiyo Sasa hivi gesti zimebadilisha matumizi badala ya nyumba za kulala.

Sasa ni nyumba za fasta unatakiwa ulipie Kwa masaa, mteja ukionekana na mabegi inamaana unataka kulala chumba hupewi, nenda Gongo la Mboto, Banana au Mbezi huo mchezo umekithiri, unaweza kuzunguka na mabegi kutwa nzima, mamlaka inayohusika fuatilieni uchafu huu unaendelea
Hizo siyo nyumba za kulala ni nyumba za sex
 
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta. Sasa ukisema unalala unaambiwa hatupangishi vyumba vya kulala mpaka Saa nne usiku. Kwa maana hiyo Sasa hivi gesti zimebadilisha matumizi badala ya nyumba za kulala.

Sasa ni nyumba za fasta unatakiwa ulipie Kwa masaa, mteja ukionekana na mabegi inamaana unataka kulala chumba hupewi, nenda Gongo la Mboto, Banana au Mbezi huo mchezo umekithiri, unaweza kuzunguka na mabegi kutwa nzima, mamlaka inayohusika fuatilieni uchafu huu unaendelea

vya bei nafuu vina kero zake, acha kwenda kulala kwenye vi guest house vya shilingi elfu 7, elf 10, au elf 15.

kuanzia sasa, jizoeshe kulala lodge za kuanzia elf 20, elf25 au elf30, huko hakuna upuuzi huo.

tafuta pesa.
 
Back
Top Bottom