Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Kwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
[emoji23][emoji23]Kwamba washkaji zako wanakuja kukutembelea halafu unataka waoge?! Huwa mnafanya nini?
Kuna umuhimu mkubwa wakuwa na kwako mzeeNinayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
Kunya kwa Uhuru mkuuNinayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
We fala umenichekesha sana ila acha uboya! Ongeza upange Apartment ni aghali ila kuna raha yake amini nakwambia. Jichange change tu ukae kwako ukiwa fully fledged ukiingia ndani kwako unakuwa unamaliza mambo yote yani kinachokutoa nje ni kuanika nguo tu.Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.
Mzee japo kauli yako ina ukweli ndani yake kwa asilimia kubwa, ila pia jua umbea sio umasikini ni tabia... Wapo watu wanaweza kuoanga mpaka apartment za laki 250 lakini wambea hatari, wapo wenye kipato cha m3 na zaidi kwa mwezi lakini wambea mwisho, kuna wengine ni wa chumba cha elf 30 na hawana umbea.We fala umenichekesha sana ila acha uboya! Ongeza upange Apartment ni aghali ila kuna raha yake amini nakwambia. Jichange change tu ukae kwako ukiwa fully fledged ukiingia ndani kwako unakuwa unamaliza mambo yote yani kinachokutoa nje ni kuanika nguo tu.
Pia utakuwa unaishi na watu wenye class katika mazingira hayo sababu wambea wambea hawawezi ku afford kodi ya laki 2 au zaidi kwa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] labda wawe ni genge la wadangaji!
Nimeishi maisha yote ya kukaa nyumba ya mama mwenye nyumba njaa njaa na mkuda anakufatilia na kudai kodi before time na nyumba ambayo mmiliki ni Don hakai hapo! Raha ni kukaa kwenye nyumba ambayo mwenye nyumba ana mishe zake sio kutegemea kodi za nyumba na anakaa mbali na hapo!
Tafuta nyumba ya aina hio mzee utakuja kuniambia!
We fala umenchekesha apo "ukiendesha saut wanazihack" ππNinayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana
*Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga.
*Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam kuendesha sauti zinadukuliwa.
Haki ya nan nawaachia kodi yao tu.