Nyumba za wageni/guest house

Nyumba za wageni/guest house

Jamani, wamiliki wa nyumba za wageni jaribuni kupunguza kidogo gharama za vyumba. Unajua inakera sana kuona umetoka kwenye nyumba fulani (chumba Tsh. 25,000) ukienda tena baada ya wiki moja unaambiwa 30,000 na kibaya zaidi akishaona umeongozana na demu wako.

Tuoneane huruma jamani, hali yenyewe ngumu!!!!

Inaonekana we unasafiri sana eh?
maana sikumbuki mara ya mwisho kulala kwenye hizo nyumba ni lini!

Naskia siku hizi sio za wageni tena ila ni za wezi wa wake za watu
 
Mi nakushangaaa sana! sh 30,000 ni pesa hiyo! acha utani, we endelea kuchakachua
 
Acha uzinzi na umalaya hizo gharama hutaziona wala kuzisikia hata siku moja!!! Guest watafuta nini wewe?? Huna nyumba??? Huna Mke??? aakkk kwenda zako bwana.

Kuna tofauti gani kati ya hivyo viwili
 
Kama ni mzigo wa magendo lazima ugharamike
lazima mle
lazima mjifiche
lazima mnywe
lazima mlipie pango
lazima muingie gharama za kusafiri kila mtu kurudi kwake
hivyo tumia mzigo halali utakwepa hayo
 
Kama huko ni gharama, mpeleke huyo mtu wako nyumbani kwako!
 
Pole kaka kwa kweli inaumiza sana. Mimi kwa hasira demu namtoa kavu kavu halambi hata nauli ya daladala ha ha
 
Back
Top Bottom