Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely kuna jamaa alituambia kwa mujibu wa calculation zake Foundation itachukua tofali 700-100 za kuchoma matokeo yake ukala 1500Mkuu mchoro pekee hauamui idadi ya materials hasa kwa msingi, so be carefull kwa hilo
Swali tamuUtajengaje popote tulipo wakati makadrio ni ya Dar tuu.
Hello ukihutaji kujua gharama ya kipesa ya kujenga nyumba
Twaweza kukuandalia makisio ya gharama kwa nyumba specific hizo au kama unayo yako
-- nyumba ya kawaida 25,000/=
-- ghorofa 100,000/=
Ndani ya Massa 24 unapata
+255-657-685-268 WhatsApp
Hello... utapata vyema kabisa ili mradi unaleta mtejaMimi sipo katika sekta ya ujenzi, ila nataka tu niwatafutie wateja, nitapata hiyo kamisheni?
Yes tunazo jumla ya nyumba zaidi ya 250 zikiwa full Ramani na vipimo na michoro yote na unapata Popote ulipo Tanzania na Nje ya Nchi kama Foreigner au DiasporaUna ramani za nyumba ya two bedroom kila chumba self? Ikiwezekana iwe kajighorofa...yaani master bedroom iwe juu