Nyumba Nafuuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 408
- 437
- Thread starter
-
- #61
Gharama zake zipoje
Kaa Vizuri, Tega Sikio Atalia Mtu Sasa HiviGood idea...
Kwamba 8m inajenga nyumba imara kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unanisema mimisasa kweli chumba kimoja cha kulala, dining ya nini sasa?
ukiwa single lia ata kitandani kwako tu.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mkuu unamaanisha hiyo milioni 16 nyumba inatoka kama hiyo ya kwenye picha...?Gharama zimeoneshwa hapo bossView attachment 2076841
Mimi pia ningependa kupata jibu la swali hili.Mkuu unamaanisha hiyo milioni 16 nyumba inatoka kama hiyo ya kwenye picha...?
Nikimaanisha kila kitu kinakuwa tayari bado kuhamia tu au inakuwa bado finishing kiongozi...?
Kwa nilivyosoma hapo, hiyo bei iliyowekwa inajumuisha Design+Map+Foundation+Wall+Roof. Kwa kifupi hizo gharama zinaishia kwenye kupaua tu.Mkuu unamaanisha hiyo milioni 16 nyumba inatoka kama hiyo ya kwenye picha...?
Nikimaanisha kila kitu kinakuwa tayari bado kuhamia tu au inakuwa bado finishing kiongozi...?
Mkuu unamaanisha hiyo milioni 16 nyumba inatoka kama hiyo ya kwenye picha...?
Nikimaanisha kila kitu kinakuwa tayari bado kuhamia tu au inakuwa bado finishing kiongozi...?
Kwa nilivyosoma hapo, hiyo bei iliyowekwa inajumuisha Design+Map+Foundation+Wall+Roof. Kwa kifupi hizo gharama zinaishia kwenye kupaua tu.
Lugha ya biashara, ukijaa ImoooooooooooooSasa anasemaje hamia katika nyumba yako kwa gharama tajwa hapo juu...?
Kutoka kanda maalun ya kati ya nchi wewe....sasa kweli chumba kimoja cha kulala, dining ya nini sasa?
ukiwa single lia ata kitandani kwako tu.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Acha gubuKaa Vizuri, Tega Sikio Atalia Mtu Sasa Hivi
"Simba Kapakatwa "
ila si Singida na Dodoma.Kutoka kanda maalun ya kati ya nchi wewe....