Nyumba zenye choo cha shimo, choo cha nje zimepitwa na wakati

Nyumba zenye choo cha shimo, choo cha nje zimepitwa na wakati

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
215
Reaction score
487
Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki.

Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi yake.

Nyumba hizi hazina baseni la kunawia. Kusafisha meno inabidi utoke na bakuli lako au unakwenda bafuni na mswaki. Ukimaliza kuutumia huna pa kuuweka, unauchomeka kati kati ya matofali.

Ningekua na uwezo ningeweka sheria, kila anaejenga nyumba ni lazima iwe self contained.

1625783369708.jpeg
 
Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki.

Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi yake.

Nyumba hizi hazina baseni la kunawia. Kusafisha meno inabidi utoke na bakuli lako au unakwenda bafuni na mswaki. Ukimaliza kuutumia huna pa kuuweka, unauchomeka kati kati ya matofali.

Ningekua na uwezo ningeweka sheria, kila anaejenga nyumba ni lazima iwe self contained.

View attachment 1846351
Mkuu kwani hayo uliyoongea Zama hizi za kwenu ndo yamejitokeza. Mababu waliishije kwani. Choo cha shimo ni kizuri kuliko hicho Cha kukaa nikuambie kiafya kimaradhi kinazuia. Pia pole mwili wako kuwa muoga Sana. Unaogopa mvua kweli Ila dunia hii. Hivi ikitokea kikinuka ukakimbilia porini mwezi mzima na huku mvua inaonyesha kweli uta survive mkuu. Sema hata huwezi tembea 10km uta faint naona.

Mie Niko 6yrs nanyeshewa na mvua Tena Ile tena ya mawe mkuu porini hata three hours inaisha jua linapiga nakauka. Asubuhi Sana nakunywa uji wa ulezi hauna sukari na mboga za majani Zina chumvi tu na viazi naenda kuchunga mpaka jioni ndo narudisha ng'ombe home.

Huko machungani mtachoma ndizi, mtakula matunda porini. So nadhani nili develop immunity since my early childhood life. Maana soda nimekuja kunywa Niko above 10yrs.

Pia umeongea kitoto Sana ama kilimbukeni kisa labda unacho choo Cha ndani. Kwani hujui hao wanaotumia hivyo vyoo pia smt ni ishu ya maisha. Maana maisha huyalazimishi yawe Kama unavyotaka.

Yaani umeongea Kama wale watoto wanaowacheka wenzao kuwa nyie baba yenu Hana gari, mnamaliza mwaka hamjala kuku.
 
Mkuu kwani hayo uliyoongea Zama hizi za kwenu ndo yamejitokeza. Mababu waliishije kwani.
Choo ch shimo ni kizuri kuliko icho Cha kukaa nikuambie kiafya kimaradhi kinazuia.pia pole mwili wako kuwa muoga Sana. Unaogopa mvua kweli Ila dunia hii. Ivi ikitokea kikinuka ukakimbilia porini mwezi mzima na huku mvua inaonyesha kweli uta survive mkuu.
Sema hata huwezi tembea 10km uta faint naona.
Mie Niko 6yrs nanyeshewa na mvua Tena Ile tena ya mawe mkuu porini hata three hours inaisha jua linapiga nakauka.
Asubuhi Sana nakunywa uji wa ulezi hauna sukari na mboga za majani Zina chumvi tu na viazi naenda kuchunga mpka jioni ndo narudisha ng'ombe home.
Huko machungani mtachoma ndizi,mtakula matunda porini. So nadhani nili develop immunity since my early childhood life. Mana soda nimekuja kunywa Niko above 10yrs.




Pia umeongea kitoto Sana ama kilimbukeni kisa labda unacho choo Cha ndani. Kwani hujui hao wanaotumia hivyo vyoo pia smt ni ishu ya maisha.
Mana maisha huyalazimishi yawe Kama unavyotaka.
Yaani umeongea Kama wale watoto wanaowacheka wenzao kuwa nyie baba yenu Hana gari, mnamaliza mwaka hamjala kuku.
Kwa maoni yako ni kuwa tuishi kama babu zetu walivyoishi, hata ndege tusipande, ukiugua usifanyiwe MRI scan kujua kiini cha tatizo. Hata hiyo devise unayotumia kuandika ujumbe huu hukupaswa kuwa nayo.

Ninafahamu kiafya choo kinatoka vizuri ukiwa umechuchumaa. Basi tujisogeze hata kwa Indian toilets mradi kiwe ni cha ndani. Kuna dignity, unaenda chooni na kopo asubuhi, Mangi akiwa anafungua duka lake anakuona, na mama kuuza uji pia alikuona.

Nina hoja ya kuboresha maisha kutoka zama za Kinjekitile Ngwale.
 
Kwa maoni yako ni kuwa tuishi kama babu zetu walivyoishi, hata ndege tusipande, ukiugua usifanyiwe MRI scan kujua kiini cha tatizo. Hata hiyo devise unayotumia kuandika ujumbe huu hukupaswa kuwa nayo.

Ninafahamu kiafya choo kinatoka vizuri ukiwa umechuchumaa. Basi tujisogeze hata kwa Indian toilets mradi kiwe ni cha ndani. Kuna dignity, unaenda chooni na kopo asubuhi, Mangi akiwa anafungua duka lake anakuona, na mama kuuza uji pia alikuona.

Nina hoja ya kuboresha maisha kutoka zama za Kinjekitile Ngwale.
Kaka nakuona umekua kimwili tuuu but still you are less mentally matured.. Unadhani kuna watu wanaopenda kuishi maisha ya chini?? Unadhani ukiwa umebarikiwa kuwa msomi na kuajiriwa/kujiajiri ndo watu wote walivyoo?? Kaka we wa nchi gani?? Na mwaka gani umezaliwa??

Kiukweli mimi ni kama mdogo wako lakini umeongea pumbaaa ...
Nimeku-critisize sanaa..
Mimi ni miongoni mwao hao wanaotumia the lowest quality latrine na nipo kijijini mpaka sasa...
Nimeumia sana ... sio mim tu .. kuna wengi humu noa wameguswa na thread yako hii...
 
Mkuu kwani hayo uliyoongea Zama hizi za kwenu ndo yamejitokeza. Mababu waliishije kwani.
Choo ch shimo ni kizuri kuliko icho Cha kukaa nikuambie kiafya kimaradhi kinazuia.pia pole mwili wako kuwa muoga Sana. Unaogopa mvua kweli Ila dunia hii. Ivi ikitokea kikinuka ukakimbilia porini mwezi mzima na huku mvua inaonyesha kweli uta survive mkuu.
Sema hata huwezi tembea 10km uta faint naona.
Mie Niko 6yrs nanyeshewa na mvua Tena Ile tena ya mawe mkuu porini hata three hours inaisha jua linapiga nakauka.
Asubuhi Sana nakunywa uji wa ulezi hauna sukari na mboga za majani Zina chumvi tu na viazi naenda kuchunga mpka jioni ndo narudisha ng'ombe home.
Huko machungani mtachoma ndizi,mtakula matunda porini. So nadhani nili develop immunity since my early childhood life. Mana soda nimekuja kunywa Niko above 10yrs.




Pia umeongea kitoto Sana ama kilimbukeni kisa labda unacho choo Cha ndani. Kwani hujui hao wanaotumia hivyo vyoo pia smt ni ishu ya maisha.
Mana maisha huyalazimishi yawe Kama unavyotaka.
Yaani umeongea Kama wale watoto wanaowacheka wenzao kuwa nyie baba yenu Hana gari, mnamaliza mwaka hamjala kuku.
Imagine una sherehe au msiba nk kwa hiyo watu wote watajazana kunyer ndani? Mwambieni mtoa mada aache utoto,ajenge kwanza ndo aanze kuongea
 
Mhh wee hama huko, kama unaweza
Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki.

Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi yake.

Nyumba hizi hazina baseni la kunawia. Kusafisha meno inabidi utoke na bakuli lako au unakwenda bafuni na mswaki. Ukimaliza kuutumia huna pa kuuweka, unauchomeka kati kati ya matofali.

Ningekua na uwezo ningeweka sheria, kila anaejenga nyumba ni lazima iwe self contained.

View attachment 1846351
Hama huko uepuke.
 
Mtoa mada inaonyesha kabisa and am sure though I can't assure you, mmehamia Kwenye nyumba yenye aina ya choo unachoongelea mwaka huu.

Subiri uolewe na mumeo uhame hapo kwenu ndo utajua hukujua kuwa ulikuwa hujui kama hujui.

Ulinkafu lakini??
 
Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki.

Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi yake.

Nyumba hizi hazina baseni la kunawia. Kusafisha meno inabidi utoke na bakuli lako au unakwenda bafuni na mswaki. Ukimaliza kuutumia huna pa kuuweka, unauchomeka kati kati ya matofali.

Ningekua na uwezo ningeweka sheria, kila anaejenga nyumba ni lazima iwe self contained.

View attachment 1846351
Vyote ulivyoviandika vinaishia kwenye UWEZO WA MTU KIUCHUMI
 
Back
Top Bottom