funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Mtoa mada sijui umeongea kwa kuwaza nini mpaka ukafikia kutoa kauli hizo.
Uwezo wa watz wengi ni mdogo hivyo kushindwa kuweka choo cha ndani maana mifumo yake ina gharama tofauti na choo cha nje. Kuhusu choo kiweje ndio ulitakiwa kuconcentrate hapo. Kuna kampeni ya nyumba ni choo wanaamasisha kujenga choo safi ambacho maji hayatuhami
Tumekuzwa na hivyo vyoo vya shimo na vya nje. Uchumi unavyoimarika watu wataji-upgrade automatically ila kwa sasa bado. Watu wanaishi nyumba ya makuti watawezaje mifumo ya choo cha ndani?
Uwezo wa watz wengi ni mdogo hivyo kushindwa kuweka choo cha ndani maana mifumo yake ina gharama tofauti na choo cha nje. Kuhusu choo kiweje ndio ulitakiwa kuconcentrate hapo. Kuna kampeni ya nyumba ni choo wanaamasisha kujenga choo safi ambacho maji hayatuhami
Tumekuzwa na hivyo vyoo vya shimo na vya nje. Uchumi unavyoimarika watu wataji-upgrade automatically ila kwa sasa bado. Watu wanaishi nyumba ya makuti watawezaje mifumo ya choo cha ndani?