Nyumba zilizopo kanda ya ziwa ni kama mapiramidi ya Egypt

Nyumba zilizopo kanda ya ziwa ni kama mapiramidi ya Egypt

Ni Ile tu mtu hajui yaani elimu ya ujenzi Hana.

Pia rangi hawajui watumie zipi kutokana na tuko ukanda gani kuwa Ni wa ikweta na tropic kwa mbali.

Yes ,Kuna kuigana na ulimbukeni kwa mbali. Ndefu ivyo hata ikija strong wind nadhani mnajua mliosoma fizikia.

Kiukweli mwenye hela hajasoma smt utamuona kwa mbali Mambo yake na doubt am not sure may be am biased.

Mtu akipata hela na Ni la Saba like gepu la kuzidiwa elimu anaanza kujifariji anatafuta namna fulani hata elimu ya kununua Mana ana feel Inadequacy in his souls,so anakuwa anatafuta how to counteract or counterbalance his emotions equilibrium.

Wengine wanakuja kutoa maumivu yao kuwa wale waliokuwa wa kwanza class saivi wako wapi na wanafanya Nini by nature binadamu ana wivu/envy Kama alivyo na damu nyekundu so huwezi kubadilisha nature ya brain zetu.

Sasa Mana alikuwa anaumia kutokuwa wa kwanza anaamua kutema nyongo nje Mana amebeba maumivu makali mno ya kuwa kilaza saivi akapata hela anajiona mjanja na huku hawezi Jenga ghorofa bila ya wasomi,Figo yake ikiharibika atapigia magoti wasomi kuwa wamsadie.

Watu hatutaki kukubali ukweli mie siwezi ichi na fulani anakiweza Ile ku boost ego and self image Basi mtu anajifanya smart kwa kuwa multipurpose
 
Ni Ile tu mtu hajui yaani elimu ya ujenzi Hana.
Pia rangi hawajui watumie zipi kutokana na tuko ukanda gani kuwa Ni wa ikweta na tropic kwa mbali.
Yes ,Kuna kuigana na ulimbukeni kwa mbali. Ndefu ivyo hata ikija strong wind nadhani mnajua mliosoma fizikia. Kiukweli mwenye hela hajasoma smt utamuona kwa mbali Mambo yake na doubt am not sure may be am biased. Mtu akipata hela na Ni la Saba like gepu la kuzidiwa elimu anaanza kujifariji anatafuta namna fulani hata elimu ya kununua Mana ana feel Inadequacy in his souls,so anakuwa anatafuta how to counteract or counterbalance his emotions equilibrium.
Wengine wanakuja kutoa maumivu yao kuwa wale waliokuwa wa kwanza class saivi wako wapi na wanafanya Nini by nature binadamu ana wivu/envy Kama alivyo na damu nyekundu so huwezi kubadilisha nature ya brain zetu.


Sasa Mana alikuwa anaumia kutokuwa wa kwanza anaamua kutema nyongo nje Mana amebeba maumivu makali mno ya kuwa kilaza saivi akapata hela anajiona mjanja na huku hawezi Jenga ghorofa bila ya wasomi,Figo yake ikiharibika atapigia magoti wasomi kuwa wamsadie.



Watu hatutaki kukubali ukweli mie siwezi ichi na fulani anakiweza Ile ku boost ego and self image Basi mtu anajifanya smart kwa kuwa multipurpose
Kwanini usiandike kingereza tu maneno yote?
 
Hata Dar mbona zipo na imependeza sana
 
Aisee ujenzi wa kanda ya ziwa unaweza kujiuliza yule fundi kafikaje juu ya paa.

Mtindo huo wa paa unasaidia kuweka upinzani wa upepo hivyo inakuwa vigumu kwa paa kuezuliwa na upepo isitoshe mtu anaweza kufanya dari kuwa stoo.
 
Kwanini usiandike kingereza tu maneno yote?
Mkuu our brain zinatofautiana Kama tunavyotofautiana physical appearance.s


Samahani Kama nakuudhi ama hujapenda uandishi wangu Ila that's me you can't never ever change me be you.

Accept nature and reality nadhani duniani patakuwa mahala pazuri pa kuishi.

Tunashangaa ama kutukana Demu anayependa kuolewa na mwanaume mwenye pesa na ilhali hatushangai miti kuota penye rutuba na haioti kwenye michanga ama mawe n.k

Am sorry man lucha Kama nimekuudhi.

Hivi hii man lucha ndiyo niliyokutana nayo makutupora jkt akiwa na dada yake anaitwa sijui Nani nimemsahau.

Kama ni wewe nicheki pm tupeane hai.

Kama vempa unamsali
 
Mbona Dar nyingi tu zinajengwa za mtindo huo
Huu ujenzi wa hivi umeanza miaka ya karibuni,mafundi wanadai kuwa ujenzi huu unasaidia mabati kutokupata kutu haraka,sasa sijui kuna research wamefanya au ni mambo yao tu ya kutunga....
 
Ulienda katoto ndio utajua vijijini Kuna mafundi waliobobea. Huwa nashangaa Dar Kuna joto la hatari lakini wanajenga nyumba fupi kama mabanda ya kuku. Nyumba Haina mvuto kanbisa
 
Haipo siku contemporary itaipiga chini paa la bati kutokeza
Sio rahisi. Paa kutokeza is more modern than hidden. Hii style ni ya enzi na enzi. Style zote zitapita lakini si hii ya kuonekana bati
 
20230115_114559.jpg
 
Back
Top Bottom