Mapaa ya kishamba sana haya. Inakuwaje paa liwe refu kupita urefu wa ukuta wa nyumba?Mapaa ya ukanda wa magharibi na kanda ya ziwa hatari tupu, na tatizo linaanzia kwa watu kujenga nyumba fupi na kulazimisha mapaa marefu
Ni sawa na mtu kuvaa kofia ndefuuuuuuuuuuuu kupita urefu wako.