Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Mkuu lazima ajue kila kinachoendelea nchini mwake.
Kama leo nimeliwa kwenye foleni hadi nikachelewa nilipokuwa naenda.
Kama leo nimeliwa kwenye foleni hadi nikachelewa nilipokuwa naenda.
Kaakweli kuliwa huko hapana ... mtoto wa kiume uliwe haiwezekani aisee ... halafu yule mzee aliongea kitu ambacho ana experience nacho